Rolence
Member
- Apr 9, 2018
- 45
- 10
Usishangae wanao kuita pm kwa sababu Avatar yako ina tafsili tofaiti kwahiyo sikunyingine usludie ivyoNime ku pm
Usishangae wanao kuita pm kwa sababu Avatar yako ina tafsili tofaiti kwahiyo sikunyingine usludie ivyoNime ku pm
Nahitaji kufanyiwa Intrauterine insemination (IUI), maana tumejaribu kawaida inashindikana, napata wapi hiyo huduma hapa Tanzania na itagharimu kiasi gani, wajuzi mje kunisaidia.
Umemsahau dada skyeclat
Nahitaji kufanyiwa Intrauterine insemination (IUI), maana tumejaribu kawaida inashindikana, napata wapi hiyo huduma hapa Tanzania na itagharimu kiasi gani, wajuzi mje kunisaidia.
Kama ulishawahi kutembea na mwanaume zaidi ya mmoja na bado hujashika mimba,basi tatizo litakua upande wako. Hata ukiwekewa lita 5 za sperm still matokeo yatakua vile vileNahitaji kufanyiwa Intrauterine insemination (IUI), maana tumejaribu kawaida inashindikana, napata wapi hiyo huduma hapa Tanzania na itagharimu kiasi gani, wajuzi mje kunisaidia.
Acha weweeeeee, yaani ni mzaha mzaha tuuuu mara nyengine qatu wanakuwa wanahitaji msaada kweli jamaaa angu, acha mzahaa weweeeKama ulishawahi kutembea na mwanaume zaidi ya mmoja na bado hujashika mimba,basi tatizo litakua upande wako. Hata ukiwekewa lita 5 za sperm still matokeo yatakua vile vile
Mkuu funguka kwa faida ya wengiNitafute nikupe uzoefu.tulipata mtoto hapo
Ila usiende kichwa kichwa utapoteza hela na mtoto usipate