Pia nikivaa nguo naskia natembelewa mwilini na vtu kama masisimiz yan nguo navaa tu nikiwa natoka ila nyumban na adhabu ya kukaa uchi nikivaa tu kosa Aman inatoweka nataman kufa
Hapo ndipo hasa pamenifanya nika ng'amua kwamba anataka tiba wallah....
Hahaha au umpelekee dawa nyumbani kabisa utakuwa umemsaidia sana
Dahhh.....Nikivaa pia nguo naskia natembelewa na wadudu yan napata shda nikivaa nguo labda natoka ila nyumban Na adhabu ya kushnda hvyohvyo nikivaa tu nahc Nina masisimiz yananitembelea mwili mzma
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi wallah....il
ilooo guuu naloaaaa mh lkn poleee madaktari wa ngozii mjee kuokoaa hiloo guuu lisiharibuuu mvutooo wakeee

Hivi GENTAMYCINE haiwezi kusaidia.Jamani Madaktari / Wataalam mliopo humu Jamvini JF fanyeni upesi muweze Kuokoa Afya na Uhai wa huyu Mpiga Kura wa Tanzania kwa mwaka 2020.
Hiyo pic uliyoweka ni sehemu gani ya mwili, ili wataalamu waweze kujua zaidi (specifically) dawa itakayokufaa.Pc hyo nmeweka hvyo vyekundu alaf ni mwili mzma
Kwa sasa tumiaLilinianza mwaka Jana mwez wa 6 cku ya kwanza nilikuwa naskia nachomwachomwa mwilini na vtu kama sindano mpak mwez wa 8 nikaanza tena kuskia natembelewa mwilini na vtu kama utitir ila ukiangalia huvion likadumu had mwez wa 12 nikaanza kuwashwa na kutokewa na vpele style ya shilling hvyo hapo kwenye pcha vmeanza kupungua mwez huu vmeanza tena kutoka vipele style mpya ambavyo ndonajkuna hapa sahv hvyo vyekundu kwenye pc
Lilinianza mwaka Jana mwez wa 6 cku ya kwanza nilikuwa naskia nachomwachomwa mwilini na vtu kama sindano mpak mwez wa 8 nikaanza tena kuskia natembelewa mwilini na vtu kama utitir ila ukiangalia huvion likadumu had mwez wa 12 nikaanza kuwashwa na kutokewa na vpele style ya shilling hvyo hapo kwenye pcha vmeanza kupungua mwez huu vmeanza tena kutoka vipele style mpya ambavyo ndonajkuna hapa sahv hvyo vyekundu kwenye pc
Labda unachanganya wakorogaji!!!???Mbona inakorogwa vzur mpak napga hata mabao 4 kwenye mechi moja
Nadhani umetamani ungekua dakitari uone namna ambavyo ungemsaidia![]()
ulivyoniita sasa hadi nimefurahi moyoni... sawa mpenzi

Kabisa mkuuNadhani umetamani ungekua dakitari uone namna ambavyo ungemsaidia![]()
![]()
![]()
![]()

Mkuu, uko sahihi kabisa. Walioko huko karibu nae fanyeni hima, member mwenzetu apate tiba.Hapo ndipo hasa pamenifanya nika ng'amua kwamba anataka tiba wallah....
![]()
![]()
Nmepma juz negativePima ngoma
Ni vipele tu na muwasho cna dalili nyingne alaf HIV nmepma juz negativeKama hutojali tupe sexual history yako ndani ya mwezi au miezi miwili iliyopita, je ni protected au unprotected!
Je tofauti na vipele hakuna dalili zingine?
Uko serious nipo maeneo ya mipangoDahhh.....![]()
![]()
Nimewaza mbali sana haki...![]()
![]()
Ebu niambie upo Dodoma maeneo yapi nikuletee dawa aiseeeee.....
MguuHiyo pic uliyoweka ni sehemu gani ya mwili, ili wataalamu waweze kujua zaidi (specifically) dawa itakayokufaa.
Alitaka kujua kama sex ulizofanya mwezi au miezi kadhaa ya karibuni ilikua ni protected or unprotected sex.....Ni vipele tu na muwasho cna dalili nyingne alaf HIV nmepma juz negative
Ni protectedAlitaka kujua kama sex ulizofanya mwezi au miezi kadhaa ya karibuni ilikua ni protected or unprotected sex.....
Itabd nikachekCheki kaswende Mkuu.
Vipele hv vyekundu au hv kama shilingi?IDEA, VIPELE VIKO VERY SIMILAR NA ACUTE HIV INFECTION