Msaada: Hivi vipele vinaniwasha sana

Msaada: Hivi vipele vinaniwasha sana

Habari zenu wana JF?
View attachment 692112

Naombeni msaada wenu nateseka na hivi vipele vya rangi nyekundu vinawasha sana hii wiki ya 3 toka vianze kunitokea,. Naomba msaada mwenye kujua dawa maana minyoo nimepima sina hospital wamenipa dawa za alleji nimemaliza juzi ila hazijasaidia chochote.

Naomba msaada wenu nifanyaje au nitumie nini.

Mungu awabariki.
Wewe ni wa kike ama kiume?Hilo ni muhimu tupate pa kuanzia kukushauri.
 
Habari zenu wana JF?
View attachment 692112

Naombeni msaada wenu nateseka na hivi vipele vya rangi nyekundu vinawasha sana hii wiki ya 3 toka vianze kunitokea,. Naomba msaada mwenye kujua dawa maana minyoo nimepima sina hospital wamenipa dawa za alleji nimemaliza juzi ila hazijasaidia chochote.

Naomba msaada wenu nifanyaje au nitumie nini.

Mungu awabariki.
Vimekutokea sehemu gani ya mwili?
 
Au wamenidanganya majbu hv unaweza kupma HIV alaf wakakuandkia majbu ya uongo?
Uwe unapima mara kwa mara HIV huwa ina stage tatu mpaka ionekane vizuri, ikiwa kwenye stage ya kwanza hata ukipima huwezi kuona kitu
 
Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv

Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv
edfb4287540a729ba2e5568125429d29.jpg
Shida nadhani ni allergy ya maji dada yangu. So hata kama ume andikiwa dawa alafu una rejea kwenye same exposures Ndio maana ni emdelevu. Dodoma Una muda gani?
 
Shida nadhani ni allergy ya maji dada yangu. So hata kama ume andikiwa dawa alafu una rejea kwenye same exposures Ndio maana ni emdelevu. Dodoma Una muda gani?
Itakuwa ni kwenye kunywa tu au hata kuogea?
 
Mmmh mboga umeingiza mambo ya migegedo tena ushapata ufumbuzi tayari
Hahaha kuna mtu kaniambia et papuch haikorogwi vzur ndomana natokewa na vpele nimekosa cha kumjibu ikabd nimjbu hvyo ckuwa na jinsi mpenz
 
il
Habari zenu wana JF?
View attachment 692112

Naombeni msaada wenu nateseka na hivi vipele vya rangi nyekundu vinawasha sana hii wiki ya 3 toka vianze kunitokea,. Naomba msaada mwenye kujua dawa maana minyoo nimepima sina hospital wamenipa dawa za alleji nimemaliza juzi ila hazijasaidia chochote.

Naomba msaada wenu nifanyaje au nitumie nini.

Mungu awabariki.
ilooo guuu naloaaaa mh lkn poleee madaktari wa ngozii mjee kuokoaa hiloo guuu lisiharibuuu mvutooo wakeee
 
Back
Top Bottom