Msaada: Hivi vipele vinaniwasha sana

Msaada: Hivi vipele vinaniwasha sana

39a9ba4fe681d14090ce99cbd04f9f28.jpg
mkuu we ni me au ke
 
Habari zenu wana JF?
View attachment 692112

Naombeni msaada wenu nateseka na hivi vipele vya rangi nyekundu vinawasha sana hii wiki ya 3 toka vianze kunitokea,. Naomba msaada mwenye kujua dawa maana minyoo nimepima sina hospital wamenipa dawa za alleji nimemaliza juzi ila hazijasaidia chochote.

Naomba msaada wenu nifanyaje au nitumie nini.

Mungu awabariki.
Zipo dawa asili za kuweza kukutibia tatizo hilo unaweza wasiliana nami kwa kunipigia simu ama what's app +255 655 821 550
 
Asante mkuu hv alej wanapimaje maana nipo Dodoma walinambia et hamna hospital inayopma alej dodoma
Anza kuoga maji ya mtoto hata Mimi wakati nimehamia hapa dodoma nilipataga hili tatizo Kumbe shida ilikuwa allergy ya maji ya uku
 
Na vyako vilikuwa kama vyangu?
Vyangu vilianzia miguuni kuanzia maeneo ya magoti had ugoko vikaja maeneo ya kwenye mbavu vikaanza na mikononi usoni ndo vikaota kama mashiringi nikaambiwa labda Nina allergy n.a. dawa za kutibia maji ya bomba nilipoanza kuchemsha n.a. kutumia rotion ya QIANYI lemon vikapona sijutumia kidonge
 
Vyangu vilianzia miguuni kuanzia maeneo ya magoti had ugoko vikaja maeneo ya kwenye mbavu vikaanza na mikononi usoni ndo vikaota kama mashiringi nikaambiwa labda Nina allergy n.a. dawa za kutibia maji ya bomba nilipoanza kuchemsha n.a. kutumia rotion ya QIANYI lemon vikapona sijutumia kidonge
Hv vyekundu havikukutokea? Maana mm vilinianza hvyo kama mashiling vikapungua vikaanza tena hv vyekundu
 
Back
Top Bottom