Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,205
- 1,077,393
Mnaudhi...Jamii forum kuna muda mnauz mpaka unataman uingie kwenye simu ukamuone anayekukela
Anayekukera...
Angalia sana wasikuongezee sup nyingine
Mnaudhi...Jamii forum kuna muda mnauz mpaka unataman uingie kwenye simu ukamuone anayekukela
Kwa kwel ni shidaMnaudhi...
Anayekukera...
Angalia sana wasikuongezee sup nyingine
Aaanh!! Kucarry ndio ipo chuo kikuuUnaweza hama na carry sio sup
Asante kwa muongozo ngoja niombe duamkuu ukiwa na sup huwezi kuhama na nacte ndivyo ilivyo
ukiwa na sup za ndani ya chuo i mean semester one kila mwaka hutoruhusiwa kuhama mpaka ukisha clear sup
hivyohivyo kwenye matokeo ya nacte ukiwa na sup hata moja huwezi kuhama mpaka ukishaclear sup yako mwezi wa pili na hapo muda wa kuhama utakua ushaisha
ingekua unataka kuhama ungehama semester one kuingia semester two ila kama matokeo yako ya nacte yatatoka ukiwa clear basi kuhama ni chap tu cozz unakua huna deni na wizara i mean huna sup
Aaanh!! Kucarry ndio ipo chuo kikuu