Baba ilumba
Member
- Apr 18, 2020
- 37
- 49
Nikiwa bado niko quarantine nimepata wazo kuwa baada ya corona kupita ninataka nianzishe kipindi changu
YouTube
Lengo la kipindi hicho ni nini
Nimezamiria kutembea karibu kila chocho ya Tanzania yaani nataka nitembelee karibia kila kona ya nchi yangu pendwa na yakuvutia niwaoneshe watu was dunia hii jinsi nchi yetu ilivyonzuri,ilivyobarikiwa kuwa na vivutio vya kila aina
Pia nikafikiria kama kipindi kikifanikiwa vizuri kwa hapa Tanzania basi nianze kuzunguka chocho mbalimbali za Africa
Naombeni ushari wenu. Je, hili wazo ni zuri au la?
YouTube
Lengo la kipindi hicho ni nini
Nimezamiria kutembea karibu kila chocho ya Tanzania yaani nataka nitembelee karibia kila kona ya nchi yangu pendwa na yakuvutia niwaoneshe watu was dunia hii jinsi nchi yetu ilivyonzuri,ilivyobarikiwa kuwa na vivutio vya kila aina
Pia nikafikiria kama kipindi kikifanikiwa vizuri kwa hapa Tanzania basi nianze kuzunguka chocho mbalimbali za Africa
Naombeni ushari wenu. Je, hili wazo ni zuri au la?