Hayo mavazi mbona kama ya mgambo ??Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshiView attachment 2043452
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
SView attachment 2043454
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?
Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
.Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshiView attachment 2043452
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
SView attachment 2043454
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?
Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
MigamboAisee wanaruhusiwa kwenda na siraha nyumban?
sio Tanzania hii, hii picha hata mimi naweza kuichukua nikaipa caption tuMkuu huyo ni Mtanzania picha ya kwanza Kuna Maandishi kaandika ni Raha Sana kuhitimu mafunzo ya Kijeshi.
sio Tanzania hii, hii picha hata mimi naweza kuichukua nikaipa caption tuMkuu huyo ni Mtanzania picha ya kwanza Kuna Maandishi kaandika ni Raha Sana kuhitimu mafunzo ya Kijeshi.
Nimempenda huyo mgeni rasmi
Siyo wale aliosema ndugu pelepolepole alienda kuwaangalia kwenye makambi ya vijana kule Babati kweli?Mkuu huyo ni Mtanzania picha ya kwanza Kuna Maandishi kaandika ni Raha Sana kuhitimu mafunzo ya Kijeshi.
Huyo dogo alieshika hiyo chuma ana sura ya kuja kuwa jambazi.Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshiView attachment 2043452
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
SView attachment 2043454
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?
Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
KaishaMkuu ni Tz hiyo Kuna watu wanamfahamu tayari.
Kwahiyo wewe ukiona tu picha ina caption kwa lugha ya Kiswahili basi unajua kua huyo mtu anakua ni mtanzania moja kwa moja?Mkuu huyo ni Mtanzania picha ya kwanza Kuna Maandishi kaandika ni Raha Sana kuhitimu mafunzo ya Kijeshi.