Msaada heslb

Lofefm

Senior Member
May 22, 2011
126
72
Kwa wale walioenda wizara ya elimu leo naomba mnijuze yaliyojiri........
0786107530
au
0763107831

mwambathegreat@gmail.com
 
Kwa wale walioenda wizara ya elimu leo naomba mnijuze yaliyojiri........ <br />
0786107530 <br />
au <br />
0763107831 <br />
<br />
mwambathegreat@gmail.com
<br />
<br />
nipgie kwa namba hi nkutonye 0680000001.
 
Wamesema kwamba hawakuweza tena kukaa kikao ile ijumaa, kwa hiyo kikao wangekaa leo ile saa nane, kuhusu wataamua nini wamesema twende kesho saa 6 mchana tutaambiwa. Walituletea mpaka usalama wa taifa, sasa sijui wana wasiwasi gani watu hate nyembe hatuna! Ndo hivyo bana we kama vipi kesho uwepo.
 
watachosema iyo kesho tunaomba mtujuze wa mikoan..... Ahsanten wanaJF kwa kutu-up2date gudnewz ka izo
 
Back
Top Bottom