STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,208
Habari za muda huu, hii ni mara yangu ya kwanza kuagiza mzigo na nimekumbana na tatizo hilo baada ya mzigo kufika nchini.
Mzigo wenyewe sio mkubwa sana nilinunua kwa Ali Express. Carrier ni AliExpress Standard Shipping.
Chini nimeambatanisha na screenshots.
Wadau wenye uzoefu naombeni msaada wenu kipi ninatakiwa kufanya.
Asante.
Mzigo wenyewe sio mkubwa sana nilinunua kwa Ali Express. Carrier ni AliExpress Standard Shipping.
Chini nimeambatanisha na screenshots.
Wadau wenye uzoefu naombeni msaada wenu kipi ninatakiwa kufanya.
Asante.