Cheti cha unesi mbona kikubwa, yaani mtu anacheti cha kuzaliwa tu labda na kadi NIDA & mpiga kurahumu kila mtu mwanasheria hata kama ana cheti cha unesi
Daaaah!Cheti cha unesi mbona kikubwa, yaani mtu anacheti cha kuzaliwa tu labda na kadi NIDA & mpiga kura
Haaa haaa hapo tayari mwanasheriaDaaaah!
Makubwa haya kaona hauko siriasi na maisha ya ndoaTulikuwa tunakosana namtimua kwa muda halafu namrudisha kama Mara 7 hivi ila safari hii kageuka eti
Kumchebe ndiyo vibaya?Kama Jeurii unaachwa tu tena bora huyu anamuacha bila hata kumuuchebee...
Ushauri mzuri ila nitashinda nakuhakikishia hilo.....mengine Ni funzo piaWewe jamaa bana yani mtu umeishi nae for 3 years bado unamuita Hawara? Mke wako ni yupi sasa kama huyo ni hawara? Huyo kisheria ni mkeo tena usitafute sag kubwa wewe kaa nae chini muelewana kama unampoza mpoze apite ivi ukitumia force apo utaumia mkuu mwanamke anaonekana kukuzidi akili ndo mana umekuja kulia lia hapa jamvini...
Kweli aisee yaan kalivyokomaa na mamaake aisee.....sema hii hadi nimrudishe hii itakuwa ya mwisho kimchezoTengeneza mchezo wa fumanizi, kodisha na macamera man kabisa...kama ukishindwa nione mchezo simple tu, ukiwa na ushahidi huo automatically hana haki asepe kama alivyokuja....Hawa single mother wabaya sana...Wana laana wanatembea nazo
humu kila mtu mwanasheria hata kama ana cheti cha unesi
Yaan Mimi nazingatia sana hilo MIAKA MIWILI MFULULIZO.....na atanipimia tu huo muda ngoja nipange files....Sijaelewa Watu wanaozungumzia dhana ya ndoa ni watu walioishi Miezi 6 nikwamujibu wa Sheria ipi au kwamujibu wa stori za mitaani.
Nijuavyo niwawe wameishi miaka miwili mfululizo na kuendelea Kama ilivyoelezwa kwenye kifunga namba 160 cha sheria ya ndoa.
Sasa unasema kuna wakati ulikua unatengana nae anarudi kwao je alikua anakaa muda gani kwao ndipo anarudi tena kwako.
Nimekuambia mzazi siyo ndugu, sidhani kama mamaangu anaweza wadhurumu wanangu Mali.Na ndugu zako wakijua jina nila mzazi wenu, je tayari una watoto ukatangulia unawaacha vipi watoto wako! Ndugu zako unawaamini vipi, unazani watoto wanaozurura mtaani wazazi wao hawakuwahi kuwa na mali embu jifunze tena maisha ya ndoa
Mie sijakataa ukiandika mzazi, halafu ukawa na ndugu zako wakajua hivi wewe unawajua ndugu, usione watu wanalia kadhurumiwa,Nimekuambia mzazi siyo ndugu, sidhani kama mamaangu anaweza wadhurumu wanangu Mali.
Duuuuh kweli kuna baba wengine nongwa. Ndio maana nimesema Sidhani kama MAMAANGU anaweza wwadhurumu wanangu Mali.......Mie sijakaa ukeandika mzazi, halafu ukawa na ndugu zako wakajua hivi wewe unawajua ndugu, usione watu wanalia kadhurumiwa, hapa nina jirani mwanaye huwa anatuma pesa ajengewe nyumba Baba kajenga mfano wa nyumba, kisha pesa nyingine kamjengea kimada na gari kamnunulia, kamaliza kumjengea na kumilikisha, kimada kamtimua Mzee alitaka kufa kwa pressure, mwanaye huko anajua nyumba tayari.
mama kama hana mambo mengi ni sawa tu lakini umwandike yeye na Baba yupo? Labda kama wametengana, unaweza kuta naye kuna ndugu zako ambao yupo close sana nao ujue imekula kwako, kwababa aise huyu Mzee unajua nimzee kabisa mpaka najiuliza huyu babu daaDuuuuh kweli kuna baba wengine nongwa......Ndo maana nimesema Sidhani kama MAMAANGU anaweza wwadhurumu wanangu Mali.......