Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,036
- 15,758
Kisheria, Dhana ya ndoa inasema hivii:
1. Kama mmeishi pamoja miezi 6 na kuendelea;
2. Majirani wanawajua nyie kama ni mume na mke...
Miaka miwili siyo miezi 6
Kisheria, Dhana ya ndoa inasema hivii:
1. Kama mmeishi pamoja miezi 6 na kuendelea;
2. Majirani wanawajua nyie kama ni mume na mke...
Kama Jeurii unaachwa tu tena bora huyu anamuacha bila hata kumuuchebee...Umefura kweli, lakini si waliishi kama mke na mme? Haijalishi hawana mtoto, wakati anajenga alikuwa anapikiwa anafuliwa stress zinapozwa naye, kiasi asimwache hivi hivi
Yaan umevurugaaaa weee K ya mdada wa watu miaka 3, umeshashiba now umepata mpya eti umbwage...
Hiyo mali mnagawana pasu pasu, kwanza kwa kukutunza wewe, kumpotezea muda na kukuweka vizuri kisaikoloji ili usiende kubaka huko nje!
Sema kuna kulogwa mzee...usijisahaulishe wanawake hawaa sio kabisaa!!!Sheria iko wazi povu halisaidii
Sema kuna kulogwa mzee...usijisahaulishe wanawake hawaa sio kabisaa!!!
Hakuna kugawana 5050 kama hakuhusika na hana ushahidi wa kuhusikaYaan umevurugaaaa weee K ya mdada wa watu miaka 3, umeshashiba now umepata mpya eti umbwage...
Hiyo mali mnagawana pasu pasu, kwanza kwa kukutunza wewe, kumpotezea muda na kukuweka vizuri kisaikoloji ili usiende kubaka huko nje!
Yes ni miaka 2, nilipitiwa kidogo hapo.Usipotoshe, "Presumption of Marriage" kwa mujibu wa sheria ya Ndoa inasema muwe mmeishi pamoja kwa zaidi ya miaka miwili. Hiyo presumption ya miezi sita umeitoa wapi? All in all kuna factors nyingi zaidi ya muda walioishi pamoja. Jamaa akiwa smart anaweza kum-dump vizuri tu huyo mwanamke. Maana kwa kigezo cha muda, "Presumption of Marriage" ina-qualify
We mjaze ujinga mwenzie kwa kuitumia uzoefu wenye rushwa ndani yake ukifikiri majira na Zama no zile zile! Haijarishi umesimama mahakamani Mara ngapi Kama maamuzi yaliambatana na rushwa usije hapa ukafikiri unazijua Sana Sheria na hukumu, utamkaanga mwenzio kwa mafuta yake mwenyewe! Kwa hiyo acha kujimwambafai hivyo!Mimi nimefanya kazi ustawi wa jamii na nimesimama mahakamani Mara kadhaa kutoa social inquiry report ya haya Mambo.
Kumbuka point of reference ya maamuzi ya Mahakama pia huchukuliwa kutoka kwa afisa ustawi. Hivyo ninaongea ninachokijua sibahatishi. Hizi kesi nimeziona nyingi na wanawake wanabwagwa mapema tu...
We acha hizo, atatakiwa amlipe ujira wa kufanya usafi na mengine na pia alete na na list au payslip za mishahara ya miaka 3 na pia uthibitisho wa mawasilisho ya nssf kwa kipindi chote, vinginevyo itabidi alipe Tena na fine! Yeye mwache ajichanganye, atarudi hapa na kilio yangu masikio na macho!kama ajakuzalia we mkatae tu sema alikua beki 3 wako anakusaidia kufanya mambo ya usafi wala hamna mahusiano yoyote na yeye wala mwanae......akapambanie kombe kwingine mazafanta
Zipo option mbili tu, atafute suluhu maisha yaendelee kwa kumlipa anaxhostahili au warudiane!Kwahiyo aachane na kesi bali akasawazishe mambo ndoa iendelee, naye mama mkwe vipi kuingilia ndoa ya mtoto wake mpaka matusi? kuna wamama wamepinda kweli
Amlipe kwa misingi ipi?Zipo option mbili tu, atafute suluhu maisha yaendelee kwa kumlipa anaxhostahili au warudiane!
Acha ujinga wewe Bwege , uliisikia ile kesi ya mkuu wa wilaya ya mpwapwa ?? Iliishia wapi na yule ndio mpaka magufuli anajua mshahara wake. Usijifanye unajua taaluma za watu bwege wewe.We acha hizo, atatakiwa amlipe ujira wa kufanya usafi na mengine na pia alete na na list au payslip za mishahara ya miaka 3 na pia uthibitisho wa mawasilisho ya nssf kwa kipindi chote, vinginevyo itabidi alipe Tena na fine! Yeye mwache ajichanganye, atarudi hapa na kilio yangu masikio na macho!
Ikiwa kiwanja ulinunua wakati mpo wote hata kama hajaandika jina lake nae yupo ktk hiyo Mali ,na kama alikikuta kiwanja baadae mkaja jenga hiyo nyumba inapigwa tathimini kisha.Ni muda Wa miaka mitatu sasa umepita tangu tukutane na huyu binti yaani mwaka 2017 akiwa Single mother yaani ameisha zalishwa mtoto mmoja. Tukabebana hapa sokoni bila kwenda kwao tukayajenga tukakubaliana nikamchukua yeye na mtoto wake tukaanza maisha...
Povu la Nini Sasa! Majibu yako kabisa yanaonyesha kutokuwa na uwezo Wala uzoefu wa kusimama mahakamani, maana hata sijachomoa fuzi tayari povu lote Hilo!Acha ujinga wewe Bwege , uliisikia ile kesi ya mkuu wa wilaya ya mpwapwa ?? Iliishia wapi na yule ndio mpaka magufuli anajua mshahara wake. Usijifanye unajua taaluma za watu bwege wewe.
Hiyo kesi hata hakimu haombi maji ya kunywa kulainisha Koo kabla hajatoa maamuzi magumu. Halafu Nani kakwambia nilikuwa nafanya kazi kipindi Cha rushwa ... Jifanye unanijua Sana tu
Ni muda Wa miaka mitatu sasa umepita tangu tukutane na huyu binti yaani mwaka 2017 akiwa Single mother yaani ameisha zalishwa mtoto mmoja. Tukabebana hapa sokoni bila kwenda kwao tukayajenga tukakubaliana nikamchukua yeye na mtoto wake tukaanza maisha..
Ni muda Wa miaka mitatu sasa umepita tangu tukutane na huyu binti yaani mwaka 2017 akiwa Single mother yaani ameisha zalishwa mtoto mmoja. Tukabebana hapa sokoni bila kwenda kwao tukayajenga tukakubaliana nikamchukua yeye na mtoto wake tukaanza maisha...