senzoside
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 183
- 31
Habari wanajukwaa hili la biashara!
Nimekuja kwenu mnisaidie hatua za kufuata kabla sijafungua biashara nataka nifungue duka ambalo nitauza bidhaa zifuatazo Vipondozi aina zote, vitenge, madera, na kwa baadae nifumgue huduma zote za kifedha (M-pesa, Tigo pesa, Airtel money, Halopesa na wakaka wa NMB, CRDB pamoja na NBC)
Sasa sijui nianzie wapi...Kwakuwa huku kuna wataalamu mbalimbali na wazoefu nimatumaini yangu nitabata muongozo stahiki. Aksanteni na Mungu awabariki.
Nimekuja kwenu mnisaidie hatua za kufuata kabla sijafungua biashara nataka nifungue duka ambalo nitauza bidhaa zifuatazo Vipondozi aina zote, vitenge, madera, na kwa baadae nifumgue huduma zote za kifedha (M-pesa, Tigo pesa, Airtel money, Halopesa na wakaka wa NMB, CRDB pamoja na NBC)
Sasa sijui nianzie wapi...Kwakuwa huku kuna wataalamu mbalimbali na wazoefu nimatumaini yangu nitabata muongozo stahiki. Aksanteni na Mungu awabariki.