Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,239
hauna flash player au flash player yako ipo outdated, za youtube zinatumia html5, am not sure za fb zinatumia nini ila site nyingi wanaeka flash videos.Mkwawa yangu siwezi kuangalia video za face book nn tatizo youtube iko fresh ila za kwenye blog na facebook msaada tafadhali
ongeza kidogo chukua hii hapa
http://www.amazon.com/HP-Flagship-T...&qid=1452275039&sr=8-4&keywords=hp+all+in+one
chukua hio juu sababu
-processor yake ni i7 na ina core 4 na thread 8 compare na i5 ya juu yenye core 2 tu. perfomance ya hii i7 ni kama mara 2 ya hio i5
-gpu yake pia ni nzuri zaidi radeon r7 260x, ina nguvu kama mara 5 hivi compare na nvidia 830m
-ram 16gb compare na 12gb
pia hii ni flagship pc yao kwenye all in one hivyo kila kitu ni top notch kuanzia webcam (full hd), real sense camera, nk ina discount ya dola 600 hivyo huwenda ikapanda bei baadae.
Oyo wakubwa nina bajeti ya tsh 600000 nafikiria kupata desktop ya i7 2600@ 3.4 kwa ajili ya games. Naombeni ushauri.
we si unayo tayari ya i5 2500 why ununue nyengine si ubadili tu processor?
nenda jamhuri na mosque kuna mhindi ana kaduka kadogo tu anazo cpu, machine yako inaingia cpu za sandy bridge na ivy bridge hivyo hadi i7 3770 itaingia.Ok, nitacheki basi kwa wale wahindi wa Capricon.
nenda jamhuri na mosque kuna mhindi ana kaduka kadogo tu anazo cpu, machine yako inaingia cpu za sandy bridge na ivy bridge hivyo hadi i7 3770 itaingia.
CHIEF- nashukuru sana nakula movie ile mbaya faceboook ila hizi za instagram duu hazioneshi MSAADA please!hauna flash player au flash player yako ipo outdated, za youtube zinatumia html5, am not sure za fb zinatumia nini ila site nyingi wanaeka flash videos.
download flash hapa
Adobe Flash Player Install for all versions
hazioneshi kwenye nini?CHIEF- nashukuru sana nakula movie ile mbaya faceboook ila hizi za instagram duu hazioneshi MSAADA please!
pc[laptop] yangu na hata smart phone sijui ni kwa nnhazioneshi kwenye nini?
inaandika error gani isipoplaypc[laptop] yangu na hata smart phone sijui ni kwa nn
hakuna hazifunguki tuinaandika error gani isipoplay
daaah nimecheki hapa down naona maandishi java script kama hivyoinaandika error gani isipoplay
kwenye simu pia?daaah nimecheki hapa down naona maandishi java script kama hivyo
kwenye simu pia?daaah nimecheki hapa down naona maandishi java script kama hivyo
HAPANA ktk PC katika cm hazifunguki tukwenye simu pia?
Core i5 - HP Elitebook 840
Item: Laptop
Brand/Model: HP Elitebook 840
Processors: Core i5 - 2.14GHz
Harddisk: 500GB and 4gb ram
Mkuu mkwawa hii inafaa kwa game