Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,063
- 43,492
Ili uweke games kawaida inabidi uchakachue,thanx mkuu. nitakuwekea specification ya ambayo nataka kuichukua ili kaniambie kama itaweza
niuliza pia mahitaji yanayotakiwa ili nijifunze kuweka game kwenye ps 2, 3, 4 na Xbox.
maana nataka ninue nyingine na niweke games mwenyewe
1. Kwa ps 2 na 3 zinachakachulika na 4 baadhi ya version,
2. Kwa Xbox 360 inachakachulika ila one na series X hazichakachuliki.
Ukishachakachua una sideload tu rom, rom zinapatikana online.
Pia zipo Njia halali kote Xbox na Ps unasubscribe kama Netflix kwa mwezi unalipa around 20k mpaka 30k unapata Games zaidi ya 100 unacheza.
Hizo subscription zipo pia za magumashi sometime hadi dola 1 kwa miezi 3.