Nightmare prof
Member
- Oct 11, 2022
- 10
- 9
Habari za Alasir ndugu wa jamii forum kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu naombeni msaada wa mawazo ama kama kuna mtu anaweza tatua tatizo langu itakua vyema na mwenyezi Mungu amjalie in shaa Allah
Mimi ni kijana wa miaka 29 binafsi nasumbuliwa na tatizo la kushindwa kusimamisha dhakari kwa uzuri takriban mwezi wa 2 yani kiukweli hili jambo linaninyima amani na hata nahisi saikolojia yangu Imeanza kuharibika kwakweli maana jaman acheni utani mwanaume mashine na linalonifanya niwaze zaidi ni kwamba kuna binti nilimchumbia na tunatarajia kufunga ndoa mwezi December sasa najiuliza na hii hali yangu itakuaje huko kwenye ndoa jaman
Wakuu naombeni msaada wenu kama kuna mtu ambae alishawahi pambana na hii kadhia na akafanikiwa kutoka na kupona bhas a nieleze alifanya nini ama kama kuna doctor wa uhakika anaemfahamu yupo vizuri kuhusu aya mambo tafadhali aniunganishe nae maana kiukweli hii hali inaniogopesha haswa
Hapa ni mahali ambapo nimeanza napo maana naamini kuna mtu wa kila aina ambae anaweza Changi tafadhari kama hutawiwa kuchangia epusha kejeri
Ahsantee
Mimi ni kijana wa miaka 29 binafsi nasumbuliwa na tatizo la kushindwa kusimamisha dhakari kwa uzuri takriban mwezi wa 2 yani kiukweli hili jambo linaninyima amani na hata nahisi saikolojia yangu Imeanza kuharibika kwakweli maana jaman acheni utani mwanaume mashine na linalonifanya niwaze zaidi ni kwamba kuna binti nilimchumbia na tunatarajia kufunga ndoa mwezi December sasa najiuliza na hii hali yangu itakuaje huko kwenye ndoa jaman
Wakuu naombeni msaada wenu kama kuna mtu ambae alishawahi pambana na hii kadhia na akafanikiwa kutoka na kupona bhas a nieleze alifanya nini ama kama kuna doctor wa uhakika anaemfahamu yupo vizuri kuhusu aya mambo tafadhali aniunganishe nae maana kiukweli hii hali inaniogopesha haswa
kuhusu punyeto yes niliwahi kua muhanga wa ilo jambo mwisho zaidi natanguliza shukran na natarajia majibu mazuri kutoka kwenu yenye kujenga
Hapa ni mahali ambapo nimeanza napo maana naamini kuna mtu wa kila aina ambae anaweza Changi tafadhari kama hutawiwa kuchangia epusha kejeri
Ahsantee