Msaada, Gharama za Ufundi, Chumba, Choo, Jiko na Sebule

Msaada, Gharama za Ufundi, Chumba, Choo, Jiko na Sebule

Lady Ra

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
886
Reaction score
1,010
Za weekend wandugu?

Heri ya Sikukuu ya Eid wana jukwaa. Hapa ninapoishi pana nafasi kubwa tu imebaki. Ni nyumba ya familia lakini nimeruhusiwa kujenga. Nataka nijenge Chumba kimoja na Sebule. Upande wa chumba nitatoa choo pembeni, na upande wa Sebule nitatoa Jiko.

Sasa muongozo wenu naomba, fundi anatakiwa labda acheze kwenye kias gani ufundi labda? Just bei elekezi tu, yaweza kua +/- kias kidogo hapo. Ni ujenzi wa boma tu bila kupaua.

Saiti ni Sinza Uzuri, Dar es Salaam.
 
Za weekend wandugu?

Heri ya Sikukuu ya Eid wana jukwaa. Hapa ninapoishi pana nafasi kubwa tu imebaki. Ni nyumba ya familia lakini nimeruhusiwa kujenga. Nataka nijenge Chumba kimoja na Sebule. Upande wa chumba nitatoa choo pembeni, na upande wa Sebule nitatoa Jiko.

Sasa muongozo wenu naomba, fundi anatakiwa labda acheze kwenye kias gani ufundi labda? Just bei elekezi tu, yaweza kua +/- kias kidogo hapo. Ni ujenzi wa boma tu bila kupaua.

Saiti ni Sinza Uzuri, Dar es Salaam.
Fundi mpe laki 8
 
Za weekend wandugu?

Heri ya Sikukuu ya Eid wana jukwaa. Hapa ninapoishi pana nafasi kubwa tu imebaki. Ni nyumba ya familia lakini nimeruhusiwa kujenga. Nataka nijenge Chumba kimoja na Sebule. Upande wa chumba nitatoa choo pembeni, na upande wa Sebule nitatoa Jiko.

Sasa muongozo wenu naomba, fundi anatakiwa labda acheze kwenye kias gani ufundi labda? Just bei elekezi tu, yaweza kua +/- kias kidogo hapo. Ni ujenzi wa boma tu bila kupaua.

Saiti ni Sinza Uzuri, Dar es Salaam.
Naomba ramani ya hako kajumba nikaweke kwenye plot yangu
 
Msingi anaweza kujenga Kwa shilingi 100,000

Kunyanyua Kuta shilingi 200,000

Zege la lenta shilingi 75,000

Kumalizia kozi 5 za juu shilingi 75,000

Kupaua na kupiga bati 150,000

Kuchimba shimo la choo shilingi 150,000

Ujenzi wa shimo la choo na kulifunika shilingi 200,000

Roughly andaa kama shilingi milioni 1 kukamilisha huo Ujenzi pamoja na shimo la choo

Kunaweza kuwa na plus/minus kama utaweza kuwa mzuri kwenye kubargain bei vizuri
 
Msingi anaweza kujenga Kwa shilingi 100,000

Kunyanyua Kuta shilingi 200,000

Zege la lenta shilingi 75,000

Kumalizia kozi 5 za juu shilingi 75,000

Kupaua na kupiga bati 150,000

Kuchimba shimo la choo shilingi 150,000

Ujenzi wa shimo la choo na kulifunika shilingi 200,000

Roughly andaa kama shilingi milioni 1 kukamilisha huo Ujenzi pamoja na shimo la choo

Kunaweza kuwa na plus/minus kama utaweza kuwa mzuri kwenye kubargain bei vizuri
Kujenga msingi mpaka boma Chumba kimoja,sebule,jiko na choo kwa 450,000 kupaua na kupiga bati kwa 150,000 huyu fundi ana patikana wapi mkuu.!?
 
Kujenga msingi mpaka boma Chumba kimoja,sebule,jiko na choo kwa 450,000 kupaua na kupiga bati kwa 150,000 huyu fundi ana patikana wapi mkuu.!?
Jitahidi uwe mzuri kwenye kubargain

Hivi unajua fundi kutwa analipwa shilingi 30,000 hadi 25,000

Wakati mwingine hulipwa Kwa idadi ya tofali
 
Msingi anaweza kujenga Kwa shilingi 100,000

Kunyanyua Kuta shilingi 200,000

Zege la lenta shilingi 75,000

Kumalizia kozi 5 za juu shilingi 75,000

Kupaua na kupiga bati 150,000

Kuchimba shimo la choo shilingi 150,000

Ujenzi wa shimo la choo na kulifunika shilingi 200,000

Roughly andaa kama shilingi milioni 1 kukamilisha huo Ujenzi pamoja na shimo la choo

Kunaweza kuwa na plus/minus kama utaweza kuwa mzuri kwenye kubargain bei vizuri
Mmmhhh,
Hizi bei zipo kweli? Unae fundi hapa Dar wa hizi bei?
 
Msingi anaweza kujenga Kwa shilingi 100,000

Kunyanyua Kuta shilingi 200,000

Zege la lenta shilingi 75,000

Kumalizia kozi 5 za juu shilingi 75,000

Kupaua na kupiga bati 150,000

Kuchimba shimo la choo shilingi 150,000

Ujenzi wa shimo la choo na kulifunika shilingi 200,000

Roughly andaa kama shilingi milioni 1 kukamilisha huo Ujenzi pamoja na shimo la choo

Kunaweza kuwa na plus/minus kama utaweza kuwa mzuri kwenye kubargain bei vizuri
Mmh hii bei babu....bei ya serikali bila efd 😁
 
Kazi Yako ipo wapi ??kama upo dar na kama una laki6 Yako mfuko wa shati nakukabidhi hadi top course nipigie 0793199967 au watsap 0694021603....ingawa gharama inaweza ongezeka kidogo isiyozidi lak1 kulingana na plan ya nyumba Yako na quality ya ujenzi sabb nyumba ukiiwekea nguzo pembezono na kibaraza itaongeza siku za kazi hivo cost itaongezeka kidogo ila ni kazi ya eiki1 tu.All the best
 
Kazi Yako ipo wapi ??kama upo dar na kama una laki6 Yako mfuko wa shati nakukabidhi hadi top course nipigie 0793199967 au watsap 0694021603....ingawa gharama inaweza ongezeka kidogo isiyozidi lak1 kulingana na plan ya nyumba Yako na quality ya ujenzi sabb nyumba ukiiwekea nguzo pembezono na kibaraza itaongeza siku za kazi hivo cost itaongezeka kidogo ila ni kazi ya eiki1 tu.All the best
Mzeya two bedroom boma mpaka kupau gharama ikoje?
 
Mzeya two bedroom boma mpaka kupau gharama ikoje?
Unajua kuna wakati ni ngumu kufanya makadirio sahh bila kujua design ya nyumba au chumba mteja atakacho mfano kina mtu anajenga kijumba Cha kuanzia maisha haweki Baraza mwingn anaweka Baraza mwingn haweki nguzo mwingn anaweka mwingn haweki zege la mkanda mwa chini mwingn anaweka mwingn hamwagi zege la blndng chini kulingana na ardhi au bajeti mwingn anamwaga haya ni mambo yanayoleta mabadiliko ya bei n.k
 
Back
Top Bottom