Siyo gharama kubwa, kwa kuanzia haivuki 50k, jitahidi ufuate maelekezo ya madaktariGharama za kuanza clinic kwa mjamzito ni sh ngapi na nkienda bila mwenza ntapokelewa?
NB mwenza wangu alienda Congo hajrudi huu mwezi wa 5ðŸ˜
Dah gharama kubwa sana ntazimudu kweliSiyo gharama kubwa, kwa kuanzia haivuki 50k, jitahidi ufuate maelekezo ya madaktari
Gharama inategemea, wewe unaishi wapi? nenda kitu cha afya cha serikali kilicho jirani na makazi yako.Wengine wanasema 30 wengine 50 sijui nitoe lipi naomba kwa anayejua hospital ambayo clinic haivuki elfu 30 anambie mimi 50 sina kwakweli wakina mama nisaidie hospital ya bei nafuu
Hivi clinic ya ujauzito siku hizi unatakiwa kulipa???🙄🙄🙄Siyo gharama kubwa, kwa kuanzia haivuki 50k, jitahidi ufuate maelekezo ya madaktari
Ntajaribu kufanya ivoGharama inategemea, wewe unaishi wapi? nenda kitu cha afya cha serikali kilicho jirani na makazi yako.
Ukifika waelezee situation yako na pesa uliyonayo na kwamba umekuja kuanza clinic.
Watakusaidia kibinadamu, ikishindikana, omba kuonana na mganga incharge wa kituo umuelezee shida yao!
NdioHivi clinic ya ujauzito siku hizi unatakiwa kulipa???🙄🙄🙄
Usilipe wewe kama nani😀Hivi clinic ya ujauzito siku hizi unatakiwa kulipa???🙄🙄🙄
Njoo chamazi~mbagala na elfu 40 hata bila mwenza watakusaidia tu ila waambie tu mwenzangu yupo nje ya nchi atachelewa kurudi.Hiyo elfu 40 shilingi elfu kumi kwa ajili ya utra sound,hela nyingine kipimo cha damu(HB) pia watakupima na homa ya ini sasa hivi ni lazima upime homa ya ini kwa mama wajawazito wote ukianza tu clinic na baada ya hapo kila mwezi ukienda clinic uwe na elfu kumi kwa ajili ya shilingi elfu sita watakwambia ulipie kipimo cha damu(HB).Karibu sanaWengine wanasema 30 wengine 50 sijui nitoe lipi naomba kwa anayejua hospital ambayo clinic haivuki elfu 30 anambie mimi 50 sina kwakweli wakina mama nisaidie hospital ya bei nafuu
Gharama zinatofautiana kutoka hospitali moja na nyingine. Ila kwa kujilinda tuu angalau uwe na 50000 maana kuna vipimo vingi vya kupima. Kuhusu kwenda na mwenzi wako ndio ni lazima ila kama hayupo unawaeleza hali halisi watakuelewa tuu.Gharama za kuanza clinic kwa mjamzito ni sh ngapi na nkienda bila mwenza ntapokelewa?
NB mwenza wangu alienda Congo hajrudi huu mwezi wa 5ðŸ˜
Sawa ngoja nipambaneGharama zinatofautiana kutoka hospitali moja na nyingine. Ila kwa kujilinda tuu angalau uwe na 50000 maana kuna vipimo vingi vya kupima. Kuhusu kwenda na mwenzi wako ndio ni lazima ila kama hayupo unawaeleza hali halisi watakuelewa tuu.
Nakutakia safari njema ya kuleta ndugu yetu duniani.
Kumbe kuna 10k ya kila mwezi? Basi mambo yanabadilika kila mwaka aiseeNjoo chamazi~mbagala na elfu 40 hata bila mwenza watakusaidia tu ila waambie tu mwenzangu yupo nje ya nchi atachelewa kurudi.Hiyo elfu 40 shilingi elfu kumi kwa ajili ya utra sound,hela nyingine kipimo cha damu(HB) pia watakupima na homa ya ini sasa hivi ni lazima upime homa ya ini kwa mama wajawazito wote ukianza tu clinic na baada ya hapo kila mwezi ukienda clinic uwe na elfu kumi kwa ajili ya shilingi elfu sita watakwambia ulipie kipimo cha damu(HB).Karibu sana
Bado ni nyingi ila ntajitahidiNjoo chamazi~mbagala na elfu 40 hata bila mwenza watakusaidia tu ila waambie tu mwenzangu yupo nje ya nchi atachelewa kurudi.Hiyo elfu 40 shilingi elfu kumi kwa ajili ya utra sound,hela nyingine kipimo cha damu(HB) pia watakupima na homa ya ini sasa hivi ni lazima upime homa ya ini kwa mama wajawazito wote ukianza tu clinic na baada ya hapo kila mwezi ukienda clinic uwe na elfu kumi kwa ajili ya shilingi elfu sita watakwambia ulipie kipimo cha damu(HB).Karibu sana
Ee munguInategemea upo mkoa gani , mfano hapa dar kituo cha afya ni kati 50, hadi elfu 70.
Mimi ilinigarimu 70,000
Dispensary garama zina pungua ila kuna vipimo muhimu vinahitajika ambavyo ndio gharama kama Alta sound nk.
Hata hivyo miezi mitano umechelewa kidogo jitahidi uwahi kwa kweli .
Hongera pia na ujaliwe kujifungua salama.
Napambana tu mwenyewe sina namnaSasa hio mimba nani atalea?
Unataka kumsaidia kulea au😂😂Sasa hio mimba nani atalea?
Ndio hvyo kaka.mm nakaa na mdogo wangu alianza clinic nilimpa elfu 40 baada ya hapo nikawa nampa elfu kumi kila mwezi akienda clinic ila kipindi cha Magufuli mke wangu alianza clinic bure kabisa mimba zake zote mbili.Kumbe kuna 10k ya kila mwezi? Basi mambo yanabadilika kila mwaka aisee