franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Vilianza Kama vipele, baadae kukua na nimetumia dawa mbali mbali lakini vinakauka then kurudi, msaada tafadhali kwa anayejua suluhisho coz Ni miaka Sasa nateseka kujitibu
Natanguliza shukrani!
Natanguliza shukrani!