mwihomeke 1
Member
- Dec 3, 2016
- 45
- 17
IVF ni gharama sana na APA tz haipo mpaka Kenya na south Africa
Kwanini usibebe mimba tuu ndugu? ujue mimba inaraha yake wewe na hapo utajua uchungu au utamu wa mwana! hizo njia unazotaka wewe hazitakusaidia chochote wala hutajua thamani ya mtoto.Hapana nina mume mkuu!
acha ujinga ndugu yangu! sema uwezo wako wa kufikiria na kuona umeishia hapo! lakini usiseme hivyo! huwezi ukajua kila kitu na huwezi ukaona kila kitu, aliye kwambia ukielimika ndio huzi kuona au kuamini majini nani? sema hayajakukuta! unafikiri shetani anaangalia elimu yako?Kama bado unaamini majini inaonyesha jinsi gani bado hujaelimika
Hakuna cha shetani/majini/uchawi/ndumba/ulozi wala nini ni story za kusadikika tu. Hayajanikuta na hayotokuja kunikuta hizo story zenu za abunuasi.acha ujinga ndugu yangu! sema uwezo wako wa kufikiria na kuona umeishia hapo! lakini usiseme hivyo! huwezi ukajua kila kitu na huwezi ukaona kila kitu, aliye kwambia ukielimika ndio huzi kuona au kuamini majini nani? sema hayajakukuta! unafikiri shetani anaangalia elimu yako?
Unajidhalilisha tu....elimu gani unayo izungunzia hapo? yawezekana wewe ndio huna elimu ya kutosha? unajiamini sana! elimu yako imeshindwa kujua risk za njia hizi za kutafuta watoto, kaelimu kadogo tuu uliko nako,basi unaona sasa na wewe unaelimu? acha kujikweza, Mungu aliweka njia sahihi za uzazi! kubalini kuelimishwa!!
Mkuu kwani na hii si sawa na kubebeshwa mimba lakini kitaalamu?Na anazaa kama kawaida!Kwanini usibebe mimba tuu ndugu? ujue mimba inaraha yake wewe na hapo utajua uchungu au utamu wa mwana! hizo njia unazotaka wewe hazitakusaidia chochote wala hutajua thamani ya mtoto.
wewe sema experince yako imeishia hapo? usiseme story za kusadikika? kunavitu vingi vipo duniani lakini huvijui! na hautakuja kuvijua! ukisema hivyo inamaana, wewe unajua kila kitu sasa?dunia nzima!Hakuna cha shetani/majini/uchawi/ndumba/ulozi wala nini ni story za kusadikika tu. Hayajanikuta na hayotokuja kunikuta hizo story zenu za abunuasi.
ujinga huo ndugu, elimu za kukalilishwa ndivyo zinavyo watesa!nakupa pole mkuu!Unajidhalilisha tu....
Watu wengine humu mnatabia ya kukurupuka ku comment bila hata kufikiria au sijui ndo mawazo mgando hivi kwa akili ya kawaida tu,unazani kaolewa jana leo kaamka kuja kuomba ushauri wa namna hii na hatamani kubeba mimba kama kawaida? mpaka ukiona mtu kafikia hapa ujue kaisubiri sana hiyo kawaida, ila bado hajafanikiwaKwanini usibebe mimba tuu ndugu? ujue mimba inaraha yake wewe na hapo utajua uchungu au utamu wa mwana! hizo njia unazotaka wewe hazitakusaidia chochote wala hutajua thamani ya mtoto.
kwaiyo sasa unataka kusema nini? kama anashida sana na watoto, basi aende kule kwa watoto yatima achukuwe mmoja awalehe! kuliko iyo njia mnayo ng'ang'ana nayo!Watu wengine humu mnatabia ya kukurupuka ku comment bila hata kufikiria au sijui ndo mawazo mgando hivi kwa akili ya kawaida tu,unazani kaolewa jana leo kaamka kuja kuomba ushauri wa namna hii na hatamani kubeba mimba kama kawaida? mpaka ukiona mtu kafikia hapa ujue kaisubiri sana hiyo kawaida, ila bado hajafanikiwa
hiyo nayo ni njia moja wapo mbadala, kupandikizwa kukishindikana ataifiria na hiyo yako, yote ni katika kutafutakwaiyo sasa unataka kusema nini? kama anashida sana na watoto, basi aende kule kwa watoto yatima achukuwe mmoja awalehe! kuliko iyo njia mnayo ng'ang'ana nayo!
Acha uongo wwIVF ni gharama sana na APA tz haipo mpaka Kenya na south Africa
Kuna mahusiano ya mtoto tumboni na mama yake wewe acha utani.Mkuu kwani na hii si sawa na kubebeshwa mimba lakini kitaalamu?Na anazaa kama kawaida!
usinibabaishe wewe kila mtu anauwezo wake wa kufikiria sioni sababu ya kunitukana labda kama wanitafuta manenoWatu wengine humu mnatabia ya kukurupuka ku comment bila hata kufikiria au sijui ndo mawazo mgando hivi kwa akili ya kawaida tu,unazani kaolewa jana leo kaamka kuja kuomba ushauri wa namna hii na hatamani kubeba mimba kama kawaida? mpaka ukiona mtu kafikia hapa ujue kaisubiri sana hiyo kawaida, ila bado hajafanikiwa
Ni sawa, lakini upandikizaji mbegu nafikiri hufanywa tokana na wazazi halisi(mbegu za wazazi hupandikizwa), Maana yake wakikutana kawaida hawawezi kutunga mimba,Hivyo hutumia njia mbadala kurutubisha hizo mbegu.Kuna mahusiano ya mtoto tumboni na mama yake wewe acha utani.
Yes this is the meaning...anabeba mimba km kawaida..Ni sawa, lakini upandikizaji mbegu nafikiri hufanywa tokana na wazazi halisi(mbegu za wazazi hupandikizwa), Maana yake wakikutana kawaida hawawezi kutunga mimba,Hivyo hutumia njia mbadala kurutubisha hizo mbegu.
Kinachofanyika hapa ni kwamba mwanamke anaetaka kupandikizwa hiyo mimba anawekewa mbegu basi ila kuna njia nyingine ya kupandikiza inaitwa ya test tube wanachukua mbegu za kike na za kiume wanapandikiza humo. hiyo test tube babies method ina mazingira kama tumbo la uzazi la mwanamke na mechanism ni zile zileYes this is the meaning...anabeba mimba km kawaida..
Mkuu sasa sio hicho anachoongea mdada hapa, test tube babies wapo, yeye anataka apandikizwe kwenye mji wa uzazi.Kinachofanyika hapa ni kwamba mwanamke anaetaka kupandikizwa hiyo mimba anawekewa mbegu basi ila kuna njia nyingine ya kupandikiza inaitwa ya test tube wanachukua mbegu za kike na za kiume wanapandikiza humo. hiyo test tube babies method ina mazingira kama tumbo la uzazi la mwanamke na mechanism ni zile zile
mbona rahisi tuu hiyo, si madaktari wana extraxt genye za mwanaume wanaenda kuziingiza kwenye nanihii ya mwanamke kazi inakua imeishia hapo! au hata wewe unaweza jipandikizia hizo mbegu mwenyewe bila kufanya mapenzi. tafuta bao la mwanaume umtakae ingizia kwe ye nanihii au kuna dada aliwahi kupata mimba ya kaka yake baada ya kuogea ndoo aliyotumia kaka yake.Mkuu sasa sio hicho anachoongea mdada hapa, test tube babies wapo, yeye anataka apandikizwe kwenye mji wa uzazi.
mimi natoa hiyo huduma mimi mwenyewe,na sina gharama yoyote zaidi ya wewe kunipm tu,nitakufuata popote utakaponielekezaHabari za jioni ndugu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema kwa anayejua gharama za kupandikiza mtoto tafadhali anisaidie na sehemu yenyewe!
Pia ukiweka mawasiliano sio mbaya! Ya hukoo wanakotoa hiyo huduma kama unayo!
Natanguliza shukrani!