Habari za muda huu wananzengo, bila shaka mko Salama na mnaendelea na shughuli za kujijenga
Nilikuwa nataka kufahamu kuhusu huduma hii ya bima ya afya Kwa sisi watu binafsi inapatikanaje. Mwenye uzoefu kidogo anisaidie maana nina uhitaji nayo nimeshauriwa kuipata ili kurahisisha matibabu pale Ocean road.
Kama kuna vitu vya muhimu vinavyohitajika kujisajili, mahali napoweza kujisajili na pia gharama zake zikoje.
Natanguliza shukrani zangu.
Nilikuwa nataka kufahamu kuhusu huduma hii ya bima ya afya Kwa sisi watu binafsi inapatikanaje. Mwenye uzoefu kidogo anisaidie maana nina uhitaji nayo nimeshauriwa kuipata ili kurahisisha matibabu pale Ocean road.
Kama kuna vitu vya muhimu vinavyohitajika kujisajili, mahali napoweza kujisajili na pia gharama zake zikoje.
Natanguliza shukrani zangu.