Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,748
Vp Wanajamii,
Hizi frem za K.koo lazima ujipinde kweli ili kuweza kuipata.
Kwa wale wenye ufahamu juu ishu ya vilemba naomba mtujuze. Je vina cheza kwa bei gani, kwa mfano kwa frem zinazo face bara bara, zile kwenye corner..turatajie kujipinda hadi M ngapi..
Karibuni.
Hizi frem za K.koo lazima ujipinde kweli ili kuweza kuipata.
Kwa wale wenye ufahamu juu ishu ya vilemba naomba mtujuze. Je vina cheza kwa bei gani, kwa mfano kwa frem zinazo face bara bara, zile kwenye corner..turatajie kujipinda hadi M ngapi..
Karibuni.