Msaada: Dume zima nina aibu mbele ya wanawake

Msaada: Dume zima nina aibu mbele ya wanawake

sidhani kama wewe una aibu, kwa maelezo yajo tho hujafikisha wanawake 20 ila inaonekana kama vile 12 uliishawavuaga nguao ulianza anzaje??? Sema ukweli? Mm naona wewe ni mkimya ila sio mtu wa aibu. Ushauri oa mwanamke mchangamfu hata kama hakuna tv ndani siku inaenda sawa.
asante sana ntajitahidi kati ya hawa wachache 20 niliokuwa nao niangalie nani ni mcheshi namke mwema nayeweza kwenda naye sambamba.
 
Huwa unagegeda umevaa miwani?
asante kwa kuja
Aibu yako ni kwenye watu wengi tu au inakuwa namna hii!??
62fa634d99e42b2ba7798de6d6ce783c.jpg
that's too much.........alafu huyo jamaa hapo si kama ana aibu bali kuna jambo tu limemsiba sasa amekuwa frustrated na bibie hapo anajaribu kumbembeleza.
 
mkuu what are you supposed to mean by this?
Kuoa walioana Babu zetu, siku hizi Ni kuoana, 50/50. Na kuhusu aibu hiyo IPO kwa watu wengi lkn kwa sababu umejijua jaribu kufight uishinde maana kuna siku itakugharimu. Nilikuwa hivyo na kuna vitu vingine nilivikosa ambacho mpaka sasa najutia lkn ndio hivyo hakuna reverse
 
Kuoa walioana Babu zetu, siku hizi Ni kuoana, 50/50. Na kuhusu aibu hiyo IPO kwa watu wengi lkn kwa sababu umejijua jaribu kufight uishinde maana kuna siku itakugharimu. Nilikuwa hivyo na kuna vitu vingine nilivikosa ambacho mpaka sasa najutia lkn ndio hivyo hakuna reverse
thanks sana
 
Jichanganye katika maeneo yenye mahandsome na watanashati kama wewe au unaohisi wamekuzidi. Tatizo ulilo nalo linatokana na wewe kudhani una haiba nzuri sana kiasi kwamba kila mtu anakuangalia wewe au anakufuatilia katika kila kitu. Itakuwa ulikulia katika maeneo ambayo ulijikuta kuwa unasifiwa na karibu kila mtu kuwa wewe ni mzuri na blah blah kibao. Au umelelewa katika familia fulani yenye uwezo mkubwa ukilinganisha na jamii iliyoizunguka na wewe kujikuta ukiwa center ya attention ya kila mtu.
Kwa upande mwingine, kuna uwezekano unajiona mbaya kupita kiasi na kila mtu anakushangaa kutokana na kukuzwa katika mazingira ya kusakamwa sana na kukosolewa juu ya mwonekano wako.
Jichanganye na watu wenye vipaji vingi wataokupa changamoto ya wewe kuvigundua vya kwako ili uweze kuzifidia hizo hisia. Jifunze kuogelea kama ulikuwa hujui, somea matumizi ya chombo fulani cha muziki kama gitaa au kinanda n.k Kama una tatizo la kujiona handsome sana au kujihandsamisha sana, jichanganye na mahandsome wa kweli ili ujione ulipopwaya,hilo litakupa changamoto ya kujua kuwa unatakiwa kuwa na vitu vya ziada na sio mwonekano murua peke yake. Itakufanya uone kuwa unatakiwa kujichukulia kuwa ni wa kawaida na si mtu alie special sana. Kama utaendelea kung'ata kucha ukikutana na mademu, basi mtafute Psychiatrist akusaidie maana kuna matatizo mengi ya kisaikolojia na yana fumbuzi za aina tofauti.
Samahani kama nitakuwa Nimekukwaza na kama haumo kwenye makundi haya pia, nisamehe ila naamini kuna mahali patakuwa panakuhusu.
 
wewe ni wa msaada sana. asante pia.
Usije kujichanganya kwa kutafuta mke kwa vigezo hivyo vya mchangamfu/mwongeaji wa katikati au mkimya ama muongeaji sana, maana hali yako ni ya mpito,na ukitumia hivyo vigezo kutokana na kuhusianisha na ulivyo sasa, ukija kubadilika utasumbuana sana na mwanamke uliejicomit kwake maana kuna uwezekano ukamuoma sio chaguo lako au yeye akakuona si chaguo lake. Hali uliyomo ni ya mpito endapo utaitafutia ufumbuzi. Jichanganye na watu wa tamaduni mbalimbali ambao wana vigezo vingi na haiba za kukutisha. Hutaamini kitakachotokea na hapo ndipo utafute mwenzi.
 
Mkuu hayo nimalezi tu na ni moja ya tabia za watu hakuna issue nyengine hata mimi niko hivyo usijforce kubadilika maana ni km ngozi yako itafikia kipindi utarudi ktk hiyo hali maana utaishi kwa kuigiza tabia ambayo siyo yako ni kama ngozi vile je unataka kujichubua sio uwe mweupe?[emoji3]

Ila tu jaribu kujicontrol kwa mujibu wa sehemu husika na mambo uyatakayo sio kwamba huwezi unaweza.

Issue ya kuoa ww oa mtu ambae nichaguo lako ktk nafsi yako mwanamke wa kuoa hatafutwi eti kwa vile ww ni mpole au mcheshi hapana inatokea tu kupenda mtu wakati mwengine pia utashindwa kujizua kumkosa kumjadili ktk akili yako vile wengine huadhirika mkuu wanasema mapenzi kikoozi ukimpenda mtu automatic ukimuona tu kuanzia mapigo ya moyo, macho hata mwili vile unakufa ganzi.

Ukimuona kitaa, kanisani, popote pale tumia njia yoyote kumkamata huyo njiwa au huna mchele ww na kuliza ule mluzi utaona anakuja miguuni mwako.
 
Back
Top Bottom