Msaada: Dume zima nina aibu mbele ya wanawake

Msaada: Dume zima nina aibu mbele ya wanawake

juu ya sifa zote hizo ni vipi kama atakuwa ni mkimya kama mimi, nyumba si itakuwa ina bore sana hususani wakija wageni ndani
Ukishaweka ndani (oa) ndio utajua wewe mkimya au mpole, maana me wengi kama wewe wakioa wanagubu la ajabu
 
Aibu yako ni kwenye watu wengi tu au inakuwa namna hii!??
62fa634d99e42b2ba7798de6d6ce783c.jpg
 
apa nilipo sijawahi kuwa na wanawake wapenzi wanaofika hata 20, mbona parefu af una aibu wengine 20nyingi ina maana unachezea kumi na hapo....
 
Jamani mimi nina aibu ile ya kuzaliwa (introverts) mbele ya mkusanyiko mkubwa wa watu kama vile harusini, kwenye sherehe na hata misibani.

Imeniwia vigumu sana linapokuja suala la kuwa na mahusiano na marafiki wapya hata suala zima la mapenzi na wanawake.

Hapa nilipo sijawahi kuwa na wanawake wapenzi wanaofika hata 20, sasa nimekaribia kufika umri wa kutaka kuoa ila ninajiuliza sijui nioe mwanamke wa tabia ya namna gani anayeweza kufanana na mimi.

Sijui nioe muongeji sana ili niweke balance ama awe full aibu kama mumewe hapa wakija wageni wakose wakuwachangamkia.

Naombeni msaada wa mawazo yani nimekwama njia panda.
MWENJEJI WA KIGOMA ILA SIO MRUNDI AMA MCONGO MAN
Afadhali sio wa mwanaume wa darisalama, maana ingekuwa shida kwetu.
 
"hapa nilipo sijawahi kuwa na wanawake wapenzi wanaofika hata 20". Haha kwani uliambiwa unatakiwa kufikisha idadi gani, ili uwe normal?
kuwa mtu wa aibu ama ucheshi hakumuondolei mtu jinsia yake. haya ni maumbile ti kama maumbile mengine.
sidhani kama wewe una aibu, kwa maelezo yajo tho hujafikisha wanawake 20 ila inaonekana kama vile 12 uliishawavuaga nguao ulianza anzaje??? Sema ukweli? Mm naona wewe ni mkimya ila sio mtu wa aibu. Ushauri oa mwanamke mchangamfu hata kama hakuna tv ndani siku inaenda sawa.
 
unalalamika hujafikisha 20,wengine hata wawili hatujafikisha.
umesema sio mcongo wala mrundi basi utakuwa Mnyarwanda
 
Back
Top Bottom