ANTHONY KWEKA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 958
- 380
Umeonaeee......... wajuba kelele miingi saanaUmemaliza mkuu
Umeonaeee......... wajuba kelele miingi saanaUmemaliza mkuu
Mkuu Kwa ufaulu huo chuo anapata..... Kuna rfk Yang alipata Grade kam hyo.... Akaomba MuM.... Akapata na kwa sas Yupo second Year..... Trust meWakuu Samahani,
Kama kichwa kinavyojieleza apo juu. Kuna chalii apa kapata div 3 ya 15 yani ana CEF vp anaweza pata chuo asome degree au aanzie diploma



MuM ni wapi mkuu?Mkuu Kwa ufaulu huo chuo anapata..... Kuna rfk Yang alipata Grade kam hyo.... Akaomba MuM.... Akapata na kwa sas Yupo second Year..... Trust me![]()
Muslim University of MorogoroMuM ni wapi mkuu?
Minimum niDD ndo min .entry requirements as per latest tcu notice.
Aombe foundation courseNami nina langu:-
Dogo ana E ya history na S ya kiswahili ambayo ameipata kwa vikao viwili vya mtihani wa kdt cha 6.Alifanya 2019 na karudia pia mwaka huu matokea ndio hayo kama nilivyoeleza hapo juu. Je,anaweza omba diploma kwa kupitia mtokeo hayo ya vikao viwili!!
#Regards
Au diplomaaAombe foundation course
Kasomeni guidebook ya TCU vizuri muelewe.Msikae kumdanganye huyo jamaa na kumjaza matumaini hewa...!Bila D mbili hawezi ku join bachelor degree. Mnakwama wapi.mbona vitu vinajieleza...!
CHUO KIKUU CHA WAISLAMU MOROGOROMuM ni wapi mkuu?
Sio chuo kikuu cha waislamu.CHUO KIKUU CHA WAISLAMU MOROGORO
Kipi hicho mkuuMmi najitolea bure kumfanyia application ya chuo kimoja,na atapata kama atataka,cha msingi anipe details zake kama atataka
Vyuo gani uliwafanyia application?Chuo anapata Wala usihofu maana cut point ni 4 mwaka Jana Kuna vijana wengi tu nimewafanyia application na walikuwa na CEE na Sasa wapo vyuo vikuu na mkopo walipata.
Advance Principle Ni kuanzia A-E, Subsidiary ni S, Fail ni F.Soma kitabu cha TCU vizuri,ukielewe.Wastani wa chini wa kudahiliwa ngazi ya bachelor degree kwa kidato cha sita kufahuru masomo mawili kwa kupata D mbili zinzazo kupa point 4.Msingi wake ni kufahuru masomo kuanzia mawili.Ukipata mfano A,E ambayo ni point 6,bado huna sifa ya ku join bachelor degree kwa ninavyo elewa.Wanataka principal pass katika masomo mawili ukiondoa GS na somo la dini.principal pass inaanzia D,C,B,A.
Anasoma fresh kabisaHawezi kusoma degree kama hana D mbili nakuendelea.