Msaada: Divison 3 Ya 15

Msaada: Divison 3 Ya 15

Nadhani umeona evidence yangu
Ambayo ni maboresho ya kitbu cha 2016 na 2018 pia
 
Anaweza kuwa na D na EE
Au DSS
Au DES
Akiwa na DEE atakuwa na point 4 bado hajakidhi vigezo
Akiwa na DSS atakiwa na point 3 hapo kabisa hana vigezo
Akiwa na DES atakuwa na point 3.5 bado hana vigezo.

Cjui ndugu yangu unakwama wapi...!
 
Akiwa na DEE atakuwa na point 4 bado hajakidhi vigezo
Akiwa na DSS atakiwa na point 3 hapo kabisa hana vigezo
Akiwa na DES atakuwa na point 3.5 bado hana vigezo.

Cjui ndugu yangu unakwama wapi...!
Sio kweli
Kinachotaiwa ni Accumulation ya principles zifike atleast 4.0 kwa course za kawaida na baadhi 4.5
Kwa health science wanataka accumulation ya masomo matatu isipungue 6.0 soma Guidebook taratibu
 
Hakuna cha maboresho,wewe ndiye mgumu wa kuelewa.usilishe watu matango hapa...!
Guidebook ya TCU huwa inafanyiwa marekebisho kila mwaka, ili uweze kusoma undergraduate degree kwa course tofaut na afya ni lazima uwe na principle pass 2 kwa masomo mawili ambazo zitakupa 4 total minimum point, kwaiyo E ni Principle pass, E=1, D=2, C=3, B=4, A=5 hivyo basi mwenye C na E (3+1)=4 huyu anapata chuo bila wasi wasi kabisa labda
 
Mtamkie tu kwamba kwa matokeo yake ya kidato cha sita afanye application ya diploma mapema.Asipoteze muda,maana muda ni mali..!
Soma hapa kijana, Hii Contradiction ya mantiki ilianzaa 2016 baada ya kubadili uelekeo from E to D and from D to C (2014/2015).
Screenshot_2020-08-23-16-57-05.jpg
 
Guidebook ya TCU huwa inafanyiwa marekebisho kila mwaka, ili uweze kusoma undergraduate degree kwa course tofaut na afya ni lazima uwe na principle pass 2 kwa masomo mawili ambazo zitakupa 4 total minimum point, kwaiyo E ni Principle pass, E=1, D=2, C=3, B=4, A=5 hivyo basi mwenye C na E (3+1)=4 huyu anapata chuo bila wasi wasi kabisa labda
Asante ndugu,
Tusaidiane kuwapa maana lengwaa
 
Mbona hii guidebook imejieleza vizuri kabisa, kikubwa ni cut off point iwe ni 4 point kwa masomo mawili
We tunaelewana tatizoo huyuu ndugu yetu...
Alichomezaaa ndicho hicho hicho hataki la kuambiwaa wala la kusikia
 
Back
Top Bottom