msaada dawa ya mende

msaada dawa ya mende

mlimbwende

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
74
Reaction score
26
Kama kuna mtu anajua dawa ya mende anijulishe tafadhari, nimefanya furmigation lakini wamerudi tena najitahidi sana kuzingatia usafi lakini wanarudi tena wale wadogo wadogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom