Msaada Dawa ya kuzuia kujampa

Msaada Dawa ya kuzuia kujampa

presider

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,420
Reaction score
1,876
Mimi npo na mke wng kwa zaid ya miaka 3. Mwanzo alikua hana tabia ya kujampa sana. Lakn toka mwaka huu uanze amekua akijampa sana co mchana wala ucku. Anajampa kila mda na kila mahali. Yaan anavitoa vya sauti na vile vya kimya kimya yaan Yusufu.Tatzo n vinanuka sana yaaan ni tabu sana.
 
Mimi npo na mke wng kwa zaid ya miaka 3. Mwanzo alikua hana tabia ya kujampa sana. Lakn toka mwaka huu uanze amekua akijampa sana co mchana wala ucku. Anajampa kila mda na kila mahali. Yaan anavitoa vya sauti na vile vya kimya kimya yaan Yusufu.Tatzo n vinanuka sana yaaan ni tabu sana.
Kuna dawa ya kiarabu inaitwaje Zeytun,ni ya maji, fuata maelekezo, zinauzwa kwenye maduka ya dawa za kiarabu. Hakika atapona.
 
Mimi npo na mke wng kwa zaid ya miaka 3. Mwanzo alikua hana tabia ya kujampa sana. Lakn toka mwaka huu uanze amekua akijampa sana co mchana wala ucku. Anajampa kila mda na kila mahali. Yaan anavitoa vya sauti na vile vya kimya kimya yaan Yusufu.Tatzo n vinanuka sana yaaan ni tabu sana.
Hapo cha kufanya ni kutegeshea ajambe, na wewe unaachia yusufu zako zinazo nuka hatari halafu unamsingizia mkeo maana ndio tabia yake.
 
Anajali afya
IMG-20181124-WA0003.jpeg
 
SERIKALI wakijua atawekewa ULINZI mkali sana, utaambiwa GAS ni MALI YA SERIKALI. Na watampeleka MTWARA akachangie kwenye visima vya gesi, ili umeme ushuke bei.

Au kama vipi anzisha kampuni ya kujaza na kuuza MITUNGI ya GAS (kama vile Oryx Gas, Manji Gas), utapiga sana hela maana upatikanaji wa gas yenu hauna tabu.

Ngoja tuwalete wengine watoe mawazo yao, Asprin babu kijana wa JF, hebu njoo umpe mjukuu wako ushauri nasaha huku.
 
hizi zaweza kuwa sababu
vidonda vya tumbo
amiba walio kubuhu
michango iliyo kubuhu
aina ya chakula mnachokula
hanywi maji mengi
chakula chenu ni kimoja na hakifuatiwi na matunda au hakina mchanganyiko wa mbogamboga
sasa usitegemee kupata dawa ya kuzuia kujamba bali tafuta chanzo cha kujamba ili ukishughulikie kujamba kutakoma kwenyewe
 
Back
Top Bottom