Msaada, dawa ya kuachana na mapenzi

Msaada, dawa ya kuachana na mapenzi

Nahitaji msaada wenu ndugu zangu,

Ni jinsi gani naweza fanya kuachana kabisa na kitu kinaitwa mapenzi? Yaani kamwe nisifikirie mahusiano kabisaaa? Maisha yangu yaliyobaki niwaze tu pesa niifurahishe nafsi yangu.

Kama kuna njia zozote za kisaikolojia naombeni mchango wenu, yaani nisipende tena, hata nisipendwe tena. Hata kama ni kwa dawa za kienyeji au waganga niko tayari

Kuliko kuumiza moyo wangu, mara leo furaha kesho uzuni, kesho kutwa mateso, bora niyafurahie maisha kwa pesa tu, vinywaji tu na viwanja, kuliko unaliamini jitu, unalipa moyo wako, unamnyima mwingine ukiamini kuwa hana malengo nawe, anakulilia, mwisho wa siku unawakosa wote na vidonda juu

Kwa wale ambao mmefanikisha kuishi wenyewe na amani ya moyo msaada wenu tafadhari
Nipe mimi nafasi naahidi kutokukutoa machozi lakini sina hela.
 
Kuna mwamba kaonja then amepita hivi kmya kmy
 
Nahitaji msaada wenu ndugu zangu,

Ni jinsi gani naweza fanya kuachana kabisa na kitu kinaitwa mapenzi? Yaani kamwe nisifikirie mahusiano kabisaaa? Maisha yangu yaliyobaki niwaze tu pesa niifurahishe nafsi yangu.

Kama kuna njia zozote za kisaikolojia naombeni mchango wenu, yaani nisipende tena, hata nisipendwe tena. Hata kama ni kwa dawa za kienyeji au waganga niko tayari

Kuliko kuumiza moyo wangu, mara leo furaha kesho uzuni, kesho kutwa mateso, bora niyafurahie maisha kwa pesa tu, vinywaji tu na viwanja, kuliko unaliamini jitu, unalipa moyo wako, unamnyima mwingine ukiamini kuwa hana malengo nawe, anakulilia, mwisho wa siku unawakosa wote na vidonda juu

Kwa wale ambao mmefanikisha kuishi wenyewe na amani ya moyo msaada wenu tafadhari
Mamie ni ngumu kuyakwepa mapenzi ila unauwezo wa kuyapumzisha ushauri wangu kwako jipe likizo ya muda fulani unaweza kuchukua hata mwezi ili utoe ushungu na stress ulizonazo then endelea na maisha kama kawaida

Dada ni kuambie kitu mapenzi ya dhati yapo sema wewe umeshindwa kumpata mtu sahihi wakuingia kwenye mahusiano na wewe ila wanaume wapo ambao wapo wanaojua kupenda, waaminifu, wanajali na wanaoweza kumpa thamani mwanamke sema wewe umeshindwa kuwapata wa namna hii muombe Mungu na sali I hope one day utampata wa namna hii.
 
Nahitaji msaada wenu ndugu zangu,

Ni jinsi gani naweza fanya kuachana kabisa na kitu kinaitwa mapenzi? Yaani kamwe nisifikirie mahusiano kabisaaa? Maisha yangu yaliyobaki niwaze tu pesa niifurahishe nafsi yangu.

Kama kuna njia zozote za kisaikolojia naombeni mchango wenu, yaani nisipende tena, hata nisipendwe tena. Hata kama ni kwa dawa za kienyeji au waganga niko tayari

Kuliko kuumiza moyo wangu, mara leo furaha kesho uzuni, kesho kutwa mateso, bora niyafurahie maisha kwa pesa tu, vinywaji tu na viwanja, kuliko unaliamini jitu, unalipa moyo wako, unamnyima mwingine ukiamini kuwa hana malengo nawe, anakulilia, mwisho wa siku unawakosa wote na vidonda juu

Kwa wale ambao mmefanikisha kuishi wenyewe na amani ya moyo msaada wenu tafadhari
Piga punyeto kwa kasi ya 5G
 
Hata kama tukikupa mbinu,nyege zako mwenyewe zitakurudisha kwenye vipigo vya vitu vizito!
 
Mamie ni ngumu kuyakwepa mapenzi ila unauwezo wa kuyapumzisha ushauri wangu kwako jipe likizo ya muda fulani unaweza kuchukua hata mwezi ili utoe ushungu na stress ulizonazo then endelea na maisha kama kawaida dada ni kuambie kitu mapenzi ya dhati yapo sema wewe umeshindwa kumpata mtu sahihi wakuingia kwenye mahusiano na wewe ila wanaume wapo ambao wapo wanaojua kupenda, waaminifu, wanajali na wanaoweza kumpa thamani mwanamke sema wewe umeshindwa kuwapata wa namna hii muombe Mungu na sali I hope one day utampata wa namna hii.
 
Back
Top Bottom