Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,917
Anza kusagana 1X15 kwa mwezi mmoja.
Hutatamani dushe kamwe.
Ushauri wa kishetani, lol
Anza kusagana 1X15 kwa mwezi mmoja.
Hutatamani dushe kamwe.
Mamie ni ngumu kuyakwepa mapenzi ila unauwezo wa kuyapumzisha ushauri wangu kwako jipe likizo ya muda fulani unaweza kuchukua hata mwezi ili utoe ushungu na stress ulizonazo then endelea na maisha kama kawaida
Dada ni kuambie kitu mapenzi ya dhati yapo sema wewe umeshindwa kumpata mtu sahihi wakuingia kwenye mahusiano na wewe ila wanaume wapo ambao wapo wanaojua kupenda, waaminifu, wanajali na wanaoweza kumpa thamani mwanamke sema wewe umeshindwa kuwapata wa namna hii muombe Mungu na sali I hope one day utampata wa namna hii.
AiseeNakumbuka kipindi nolivo kua na depression kama hiyo niliamua kuachana namapezi angalau kwa miaka mitatu, nikapata pschological counselor, kutoka office fulani ila ndani ya miezi mitatu tulianza mahusiano nae, tena yalikua ya moto hata kuliko ya awali, so napenzi ni sehemu ya maisha ya mtu.

Yaani wadada hili mpka leo hawajalijua tuu🤣🤣🤣🤣Pia mwambie asiwe na matarajio mengi kwenye mapenzi siku za mwanzoni,coz anaonekana anaweka nguvu zake zote kwenye mapenzi..Muda ndo unafaa kuamua wether mtu ni sahihi au la!..ukiamua kwa kuangalia jinsi anavyokufanyia ni rahisi kufanya maamuzi yasiyo sahihi coz wanaume huwa tuna igiza sana ili tumpate mdada then tukipita naye tunajionesha uhalisia wetu.
Hahahaaa nimecheka kibwege Sanaa ,yapo kama ngumi yakikuotea utajuta!! sema nini ugomvi wa kiarusha unarudi nyuma unajipanga upyaMpango wa kuacha mapenzi sina, japo yameniotea yakanichapa hatari mpaka nikadata,
Ila hayo mapenzi yajage tu yaniue yataamua yenyewe yazike ama yasafirishe..!
Pm unaweza nisaidiaPenda mwanaume asiyekuwa na kipato
We tafuta mtu sahihi tu utasahau yote uyasemayoNahitaji msaada wenu ndugu zangu,
Ni jinsi gani naweza fanya kuachana kabisa na kitu kinaitwa mapenzi? Yaani kamwe nisifikirie mahusiano kabisaaa? Maisha yangu yaliyobaki niwaze tu pesa niifurahishe nafsi yangu.
Kama kuna njia zozote za kisaikolojia naombeni mchango wenu, yaani nisipende tena, hata nisipendwe tena. Hata kama ni kwa dawa za kienyeji au waganga niko tayari
Kuliko kuumiza moyo wangu, mara leo furaha kesho uzuni, kesho kutwa mateso, bora niyafurahie maisha kwa pesa tu, vinywaji tu na viwanja, kuliko unaliamini jitu, unalipa moyo wako, unamnyima mwingine ukiamini kuwa hana malengo nawe, anakulilia, mwisho wa siku unawakosa wote na vidonda juu
Kwa wale ambao mmefanikisha kuishi wenyewe na amani ya moyo msaada wenu tafadhari
Mkuu kuwaza pesa ni jambo zuri ila ikiwa kashafanya mambo yanayotakikana...Kama ana watoto kashapata basi focus lazma iende kwenye pesa tu. Kwahio atafute watoto kwanza akili ya pesa huja automatically.
Si ukatafute Kazi ngumu uone kama utawaza sio unashinda umelala ndani unadhani utaacha kuwazaNahitaji msaada wenu ndugu zangu,
Ni jinsi gani naweza fanya kuachana kabisa na kitu kinaitwa mapenzi? Yaani kamwe nisifikirie mahusiano kabisaaa? Maisha yangu yaliyobaki niwaze tu pesa niifurahishe nafsi yangu.
Kama kuna njia zozote za kisaikolojia naombeni mchango wenu, yaani nisipende tena, hata nisipendwe tena. Hata kama ni kwa dawa za kienyeji au waganga niko tayari
Kuliko kuumiza moyo wangu, mara leo furaha kesho uzuni, kesho kutwa mateso, bora niyafurahie maisha kwa pesa tu, vinywaji tu na viwanja, kuliko unaliamini jitu, unalipa moyo wako, unamnyima mwingine ukiamini kuwa hana malengo nawe, anakulilia, mwisho wa siku unawakosa wote na vidonda juu
Kwa wale ambao mmefanikisha kuishi wenyewe na amani ya moyo msaada wenu tafadhari