Kama kichwa kinavyoeleza ninapoishi tumevamiwa na kundi la nzi Kama nyuki kwenye mzinga!Wanakuja mchana,jioni na hata usiku!Wanafikia nje ukifungua tu mlango wanaingia ndani.
Nimejaribu baadhi ya dawa haziwaui wote!Ajabu kila wanapogusa wanaacha alama ya madoa meusi meusi!Nasubiria muda muafaka niwapige picha kisha niwarushie!Hata hivyo kwa sasa mwawezaona madhara waliyosababisha kwenye baadhi ya picha hapa chini!
... Mbeya na msimu wote huu wa baridi nzi wanatoka wapi. Nzi kuishi below 23C ni very rare sembuse Mbeya weather ni below 15C! Sioni wakiwa nzi wa kawaida hao! Pata ushauri wa wazee Mkuu.
... Mbeya na msimu wote huu wa baridi nzi wanatoka wapi. Nzi kuishi below 23C ni very rare sembuse Mbeya weather ni below 15C! Sioni wakiwa nzi wa kawaida hao! Pata ushauri wa wazee Mkuu.
Sasa i meant this,, nayo ni ya kumwaga chini na unadai utaitafuta c utakua ushatumia my wangu na kama uliitumia unavodai wakafa wachache basi uliuziwa fekero hii inapatkana duka za dawa za mifugo.
Sasa i meant this,, nayo ni ya kumwaga chini na unadai utaitafuta c utakua ushatumia my wangu na kama uliitumia unavodai wakafa wachache basi uliuziwa fekero hii inapatkana duka za dawa za mifugo.