Asante sana wakuu kwa ushirikiano wenu uliotukuka. Nashukuru tayari nimeishampata dada mmoja na anachapa kazi vizuri tu.
jaman na mim nahtaji dada wa kazi
Viip tena s ulimpata? What happened?wakuu salaam!
nimepatwa tena na tatizo la kuhitaji msichana wa kazi....mwenye fununu au taarifa sahihi mahali nawez kumpata, tafadhali niPM. please assist.