tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,950
- 25,327
Jambo wakuu!
Nina shida ya ghafla na mfanyakazi wa ndani (house girl). Kwa yeyote anayefahamu mahali/namna naweza kumpata msichana huyo hapa Dar naomba aniPM. Kituo cha kazi ni Wilaya ya Temeke, Kata ya Mtoni Kijichi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wenu.
Nina shida ya ghafla na mfanyakazi wa ndani (house girl). Kwa yeyote anayefahamu mahali/namna naweza kumpata msichana huyo hapa Dar naomba aniPM. Kituo cha kazi ni Wilaya ya Temeke, Kata ya Mtoni Kijichi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wenu.