Msaada: Dada anatakiwa haraka sana!

Msaada: Dada anatakiwa haraka sana!

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,950
Reaction score
25,327
Jambo wakuu!

Nina shida ya ghafla na mfanyakazi wa ndani (house girl). Kwa yeyote anayefahamu mahali/namna naweza kumpata msichana huyo hapa Dar naomba aniPM. Kituo cha kazi ni Wilaya ya Temeke, Kata ya Mtoni Kijichi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wenu.
 
Unalipa mshahara ngapi?yupo katokea Kigoma ni Pm
 
kuna msichana yupo arusha anatafuta kazi za ndani ni mkarimu na anaheshima ila anamtoto mdogo wa miezi 6 aliyetayari tuwasiliane nimpe no.yake
 
Dar mbona kuna makampuni mengi huko ya dada wa kazi
 
Huyu binti wa Arusha ninamhitaji hapa Dar. Mpe simu yangu 0715287233
 
Jambo wakuu!

Nina shida ya ghafla na mfanyakazi wa ndani (house girl). Kwa yeyote anayefahamu mahali/namna naweza kumpata msichana huyo hapa Dar naomba aniPM. Kituo cha kazi ni Wilaya ya Temeke, Kata ya Mtoni Kijichi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wenu.



Inaonekana umeumizwa kweli maana hiko kilio kwenye avatar, ni hatari. Vipi unanyimwa unyumba na Mamaa au? Ngoja nikutafutie changu a.k.a "House Girl."
 
Duh pole hgirl cku hz hawataki mshahara huo kwa mini km dar wanataka 50 upon tayari??
 
jamani natafuta dada wa kaz nina familia ya watu watatu
 
Back
Top Bottom