Ninachojua ukiwa na diploma ya uhasibu zamani kidogo ulikuwa unaanza ( module c & d) ambayo ni intermediate stage , then unafanya final stage ( e & f) , kama Una digrii ya account unaanza kufanya final stage ( module e & f) , sijui kama sasahivi hui umebadilishwa, wazo lako la kufanya CPA ukiwa na diploma ni zuri , kwani unaweza ukafuta kazi huku unafanya hizo papers, kumbuka kazi nyingi waajiri wanawapenda diploma Kwa kuwa ni cheap labour, hizo paper wala sio ngumu Sana , watu wasikutishe , fanya kama hivyo ulivyopanga