Habarini za wakat wakuu,Naamin sote tu wazima kwa wale mliokutana na changamoto za hapa na pale poleni.
Nijikite kwenye mada,Naomba kupata ufafanuzi kwa wale wajuzi au hata kama una idea na hili jambo:
Hivi kwa aliyesomea Diploma ya Uhasibu anauwezo wa kuchukulia CPA???? na jee cost yake inakuwaje kwa issue ya mitihani??
Pia nataka kujua vipi kwa anayepata CPA after diploma/stashahada na anayepata after bachelor/shahada wote wanauwezo wa kuaaply same job?
Kwamba kama aliyechukua CPA diploma ana sifa ya kuaaply same job na aliyepata Bachelor CPA???
Nijikite kwenye mada,Naomba kupata ufafanuzi kwa wale wajuzi au hata kama una idea na hili jambo:
Hivi kwa aliyesomea Diploma ya Uhasibu anauwezo wa kuchukulia CPA???? na jee cost yake inakuwaje kwa issue ya mitihani??
Pia nataka kujua vipi kwa anayepata CPA after diploma/stashahada na anayepata after bachelor/shahada wote wanauwezo wa kuaaply same job?
Kwamba kama aliyechukua CPA diploma ana sifa ya kuaaply same job na aliyepata Bachelor CPA???
Last edited: