MSAADA: CPA kwa Accountant

MSAADA: CPA kwa Accountant

Status
Not open for further replies.
INATEGEMEA NA DIPLOMA ULIYONAYO NI YA MASOMO GANI? KAMA NI YA ACCOUNTANCY UNAANZA NA FOUNDATION KISHA INTERMEDIATE HALAFU FINAL. UKISHAMALIZA FINAL MASOMO YOTE MANNE NDO UNAPEWA CPA CERTIFICATE.

KWA USHAURI WANGU KAMA KICHWA KIKO VIZURI SANA NI VIZURI UKAANZA NA FOUNDATION KISHA UKAPIGA INTERMEDIATE NA FINAL. MAAN UKIWA NA DIPLOMA UNAANZA FOUNDATION AMBAYO NI MASOMO MATANO ( KAMA SIJAKOSEA) NA UKIMALIZA HAYO UNAENDELEA NA HATUA YA PILI AMBAYO NI INTERMEDIATE NA ILI UFANYE INTERMEDIATE UNATAKIWA UWE UMEMALIZA BACHELOR. SWALI LAKUJIULIZA NI MUDA GANI TOKA DIPLOMA MPAKA BACHELOR? DHAHIRI NI MIAKA MITATU NA HATA UWE HUJAMANIKIKA KIASI GANI HUWEZI MALIZA MIAKA MITATU KWA MASOMO MATANO KAMA UMEAMUA KWELIKUWEKEZA KWENYE MAISHA

WASIWASI WAKO NILIUONA NI KWAMBA KAMA HUNA DEGREE LABDA ITAKUWA CHANGAMOO KWA KUENDELEA KUSOMA SI KWELI HATA KIDOGO NA HIYO DHANA IONDOE KWANI NILISOMA MASTERS NA MTU AMBAYE HANA DEGREE ILA ANA SPA NA ALIKUWA NA UWEZO MZURI SANA KULIKO HATA SISI WENYE DEGREE.

CHANGAMOTO YA MIOTIHANI YA NBAA NI KUJITOA KWA HALI NA MALI NA PIA USIWE NA MAMBO MENGI MANA YANAKULA MUDA NA SOMETIMES NGOMA ZINAGOMA ILA UKIKOMAA INAWEZEKANA KABISA.

LAMWISHO KWA NINI WAHINDI MNAOSOMA NAO O LEVEL HUWAKUTI A LEVEL WALA KWENYE VYUO VYA BIASHARA LAKINI BAADA YA MIAKA MITATU MINNE ANA ACCA AMBAYO ANAIFANYIA KAZI ULIMWENGU MZIMA.

NAOMBA KUWASILISHA
Mkuu umejibu vyema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
INATEGEMEA NA DIPLOMA ULIYONAYO NI YA MASOMO GANI? KAMA NI YA ACCOUNTANCY UNAANZA NA FOUNDATION KISHA INTERMEDIATE HALAFU FINAL. UKISHAMALIZA FINAL MASOMO YOTE MANNE NDO UNAPEWA CPA CERTIFICATE.

KWA USHAURI WANGU KAMA KICHWA KIKO VIZURI SANA NI VIZURI UKAANZA NA FOUNDATION KISHA UKAPIGA INTERMEDIATE NA FINAL. MAAN UKIWA NA DIPLOMA UNAANZA FOUNDATION AMBAYO NI MASOMO MATANO ( KAMA SIJAKOSEA) NA UKIMALIZA HAYO UNAENDELEA NA HATUA YA PILI AMBAYO NI INTERMEDIATE NA ILI UFANYE INTERMEDIATE UNATAKIWA UWE UMEMALIZA BACHELOR. SWALI LAKUJIULIZA NI MUDA GANI TOKA DIPLOMA MPAKA BACHELOR? DHAHIRI NI MIAKA MITATU NA HATA UWE HUJAMANIKIKA KIASI GANI HUWEZI MALIZA MIAKA MITATU KWA MASOMO MATANO KAMA UMEAMUA KWELIKUWEKEZA KWENYE MAISHA

WASIWASI WAKO NILIUONA NI KWAMBA KAMA HUNA DEGREE LABDA ITAKUWA CHANGAMOO KWA KUENDELEA KUSOMA SI KWELI HATA KIDOGO NA HIYO DHANA IONDOE KWANI NILISOMA MASTERS NA MTU AMBAYE HANA DEGREE ILA ANA SPA NA ALIKUWA NA UWEZO MZURI SANA KULIKO HATA SISI WENYE DEGREE.

CHANGAMOTO YA MIOTIHANI YA NBAA NI KUJITOA KWA HALI NA MALI NA PIA USIWE NA MAMBO MENGI MANA YANAKULA MUDA NA SOMETIMES NGOMA ZINAGOMA ILA UKIKOMAA INAWEZEKANA KABISA.

LAMWISHO KWA NINI WAHINDI MNAOSOMA NAO O LEVEL HUWAKUTI A LEVEL WALA KWENYE VYUO VYA BIASHARA LAKINI BAADA YA MIAKA MITATU MINNE ANA ACCA AMBAYO ANAIFANYIA KAZI ULIMWENGU MZIMA.

NAOMBA KUWASILISHA
Samahan pia mkuu naomba kuuliza,
Vipi kwenye issue ya Loan kwa aliyetoka diploma anayetaka kuunganisha Bachelor.Mkopo upo wa kusatisfy?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata mtu aliyemaluza firm 4 anaweza kufanya. Tofauti ni utafanya mitihani mingapi? Kuhusu gharama inatofautiana kulingana na level ya mtihani. Pia kuna gharama za tuition n.k.

Kama una diploma andaa kama mil 52 mana utafanya mtihani na kufeli mara 40, utafutiwa mtihani mara 36 na utakimbi bila kumaliza.


Iyo paragraph ya mwisho ipuuze ni tangazo la mdhamini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hata mtu aliyemaluza firm 4 anaweza kufanya. Tofauti ni utafanya mitihani mingapi? Kuhusu gharama inatofautiana kulingana na level ya mtihani. Pia kuna gharama za tuition n.k.

Kama una diploma andaa kama mil 52 mana utafanya mtihani na kufeli mara 40, utafutiwa mtihani mara 36 na utakimbi bila kumaliza.


Iyo paragraph ya mwisho ipuuze ni tangazo la mdhamini


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahhahahahah Aaah haya mkuu.
haya mambo bila wadhamini yaendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhahahahah Aaah haya mkuu.
haya mambo bila wadhamini yaendi

Sent using Jamii Forums mobile app

hahaha nakutishia tu mkuu. Tuition kwa somo ina range btn 100k-150k, kulipia bodi inarange 80k-150k kwa somo depends on level. Kwa hesabu za haraka kama utafanya bila kufeli andaa kama 3M (apo nimekadiria utafanya mitihani 12).

Ukiacha bia na mademu unamudu hizi gharama mkuu

Usitilie maanani paragraph ya mwisho
 
hahaha nakutishia tu mkuu. Tuition kwa somo ina range btn 100k-150k, kulipia bodi inarange 80k-150k kwa somo depends on level. Kwa hesabu za haraka kama utafanya bila kufeli andaa kama 3M (apo nimekadiria utafanya mitihani 12).

Ukiacha bia na mademu unamudu hizi gharama mkuu

Usitilie maanani paragraph ya mwisho

Tupo pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiraremapojoni sory mkuu vip maana ya adv diploma ndo nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
huu ni mfumo wa kielimu wa kizamani ambao baadaye ulifutwa nadhani kwenye miaka ya 2010. zamani mkimaliza form six kulikuwa na cut point ya kwenda vyuo vikuu na colleges. university walikuwa wakitoa Degree ila college walikuwa wakitoa Advanced Diploma ambayo ni sawa na degree mana mkifaulu nyote mnaaendelea masters. vyuo kama cbe, ifm, IAA,TIA walikuwa wakitoa advanced diploma ila UDSM walikuwa wanatoa degree. ila ni mfumo ambao hautambuliki duniani mana niliwahi kufanya scholarship questionaire wakaniuliza advanced diploma ni equivalent na nini, nikawajibu bachelor wakasema hatuna kiwango hicho.


wasomi wa sasa hii kwenu ni msamiati mpya kama enzi zetu tukisikia muhasibu ana NAD au NABOCE tunaona kama kitu kipya. kila zama na kitabu chake
 
huu ni mfumo wa kielimu wa kizamani ambao baadaye ulifutwa nadhani kwenye miaka ya 2010. zamani mkimaliza form six kulikuwa na cut point ya kwenda vyuo vikuu na colleges. university walikuwa wakitoa Degree ila college walikuwa wakitoa Advanced Diploma ambayo ni sawa na degree mana mkifaulu nyote mnaaendelea masters. vyuo kama cbe, ifm, IAA,TIA walikuwa wakitoa advanced diploma ila UDSM walikuwa wanatoa degree. ila ni mfumo ambao hautambuliki duniani mana niliwahi kufanya scholarship questionaire wakaniuliza advanced diploma ni equivalent na nini, nikawajibu bachelor wakasema hatuna kiwango hicho.


wasomi wa sasa hii kwenu ni msamiati mpya kama enzi zetu tukisikia muhasibu ana NAD au NABOCE tunaona kama kitu kipya. kila zama na kitabu chake
Shukran mkuu kwa ufanunuzi mzuri,hapo nimekuelewa vzr na wengi wetu tumepata mwanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu ni mfumo wa kielimu wa kizamani ambao baadaye ulifutwa nadhani kwenye miaka ya 2010. zamani mkimaliza form six kulikuwa na cut point ya kwenda vyuo vikuu na colleges. university walikuwa wakitoa Degree ila college walikuwa wakitoa Advanced Diploma ambayo ni sawa na degree mana mkifaulu nyote mnaaendelea masters. vyuo kama cbe, ifm, IAA,TIA walikuwa wakitoa advanced diploma ila UDSM walikuwa wanatoa degree. ila ni mfumo ambao hautambuliki duniani mana niliwahi kufanya scholarship questionaire wakaniuliza advanced diploma ni equivalent na nini, nikawajibu bachelor wakasema hatuna kiwango hicho.


wasomi wa sasa hii kwenu ni msamiati mpya kama enzi zetu tukisikia muhasibu ana NAD au NABOCE tunaona kama kitu kipya. kila zama na kitabu chake
D. I. T Nafikiri bado wanatoa kwa degree ya miaka 4 kama ikitokea umesoma miaka 3 unapewa advanced diploma
 
Kasome degree ndio uanze hio cpa, siku hizi kazi nyingi wanatafuta combination ya degree na cpa vyote kwa pamoja, kitu kingine hio cpa ina mitihani migumu na MTU asipojiangalia unaweza kupoteza miaka na miaka.....Fanya degree kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom