Teh teh teh acha nikachukue yangu mapema nikae nayo hata kama sina kazi nayo . maana akiba haiozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh acha nikachukue yangu mapema nikae nayo hata kama sina kazi nayo . maana akiba haiozi
Mkuu umejibu vyema sanaINATEGEMEA NA DIPLOMA ULIYONAYO NI YA MASOMO GANI? KAMA NI YA ACCOUNTANCY UNAANZA NA FOUNDATION KISHA INTERMEDIATE HALAFU FINAL. UKISHAMALIZA FINAL MASOMO YOTE MANNE NDO UNAPEWA CPA CERTIFICATE.
KWA USHAURI WANGU KAMA KICHWA KIKO VIZURI SANA NI VIZURI UKAANZA NA FOUNDATION KISHA UKAPIGA INTERMEDIATE NA FINAL. MAAN UKIWA NA DIPLOMA UNAANZA FOUNDATION AMBAYO NI MASOMO MATANO ( KAMA SIJAKOSEA) NA UKIMALIZA HAYO UNAENDELEA NA HATUA YA PILI AMBAYO NI INTERMEDIATE NA ILI UFANYE INTERMEDIATE UNATAKIWA UWE UMEMALIZA BACHELOR. SWALI LAKUJIULIZA NI MUDA GANI TOKA DIPLOMA MPAKA BACHELOR? DHAHIRI NI MIAKA MITATU NA HATA UWE HUJAMANIKIKA KIASI GANI HUWEZI MALIZA MIAKA MITATU KWA MASOMO MATANO KAMA UMEAMUA KWELIKUWEKEZA KWENYE MAISHA
WASIWASI WAKO NILIUONA NI KWAMBA KAMA HUNA DEGREE LABDA ITAKUWA CHANGAMOO KWA KUENDELEA KUSOMA SI KWELI HATA KIDOGO NA HIYO DHANA IONDOE KWANI NILISOMA MASTERS NA MTU AMBAYE HANA DEGREE ILA ANA SPA NA ALIKUWA NA UWEZO MZURI SANA KULIKO HATA SISI WENYE DEGREE.
CHANGAMOTO YA MIOTIHANI YA NBAA NI KUJITOA KWA HALI NA MALI NA PIA USIWE NA MAMBO MENGI MANA YANAKULA MUDA NA SOMETIMES NGOMA ZINAGOMA ILA UKIKOMAA INAWEZEKANA KABISA.
LAMWISHO KWA NINI WAHINDI MNAOSOMA NAO O LEVEL HUWAKUTI A LEVEL WALA KWENYE VYUO VYA BIASHARA LAKINI BAADA YA MIAKA MITATU MINNE ANA ACCA AMBAYO ANAIFANYIA KAZI ULIMWENGU MZIMA.
NAOMBA KUWASILISHA
Samahan pia mkuu naomba kuuliza,INATEGEMEA NA DIPLOMA ULIYONAYO NI YA MASOMO GANI? KAMA NI YA ACCOUNTANCY UNAANZA NA FOUNDATION KISHA INTERMEDIATE HALAFU FINAL. UKISHAMALIZA FINAL MASOMO YOTE MANNE NDO UNAPEWA CPA CERTIFICATE.
KWA USHAURI WANGU KAMA KICHWA KIKO VIZURI SANA NI VIZURI UKAANZA NA FOUNDATION KISHA UKAPIGA INTERMEDIATE NA FINAL. MAAN UKIWA NA DIPLOMA UNAANZA FOUNDATION AMBAYO NI MASOMO MATANO ( KAMA SIJAKOSEA) NA UKIMALIZA HAYO UNAENDELEA NA HATUA YA PILI AMBAYO NI INTERMEDIATE NA ILI UFANYE INTERMEDIATE UNATAKIWA UWE UMEMALIZA BACHELOR. SWALI LAKUJIULIZA NI MUDA GANI TOKA DIPLOMA MPAKA BACHELOR? DHAHIRI NI MIAKA MITATU NA HATA UWE HUJAMANIKIKA KIASI GANI HUWEZI MALIZA MIAKA MITATU KWA MASOMO MATANO KAMA UMEAMUA KWELIKUWEKEZA KWENYE MAISHA
WASIWASI WAKO NILIUONA NI KWAMBA KAMA HUNA DEGREE LABDA ITAKUWA CHANGAMOO KWA KUENDELEA KUSOMA SI KWELI HATA KIDOGO NA HIYO DHANA IONDOE KWANI NILISOMA MASTERS NA MTU AMBAYE HANA DEGREE ILA ANA SPA NA ALIKUWA NA UWEZO MZURI SANA KULIKO HATA SISI WENYE DEGREE.
CHANGAMOTO YA MIOTIHANI YA NBAA NI KUJITOA KWA HALI NA MALI NA PIA USIWE NA MAMBO MENGI MANA YANAKULA MUDA NA SOMETIMES NGOMA ZINAGOMA ILA UKIKOMAA INAWEZEKANA KABISA.
LAMWISHO KWA NINI WAHINDI MNAOSOMA NAO O LEVEL HUWAKUTI A LEVEL WALA KWENYE VYUO VYA BIASHARA LAKINI BAADA YA MIAKA MITATU MINNE ANA ACCA AMBAYO ANAIFANYIA KAZI ULIMWENGU MZIMA.
NAOMBA KUWASILISHA
Ahhahahaah,hakika.Teh teh teh acha nikachukue yangu mapema nikae nayo hata kama sina kazi nayo . maana akiba haiozi
Sent using Jamii Forums mobile app





Hahahhahahahah Aaah haya mkuu.hata mtu aliyemaluza firm 4 anaweza kufanya. Tofauti ni utafanya mitihani mingapi? Kuhusu gharama inatofautiana kulingana na level ya mtihani. Pia kuna gharama za tuition n.k.
Kama una diploma andaa kama mil 52 mana utafanya mtihani na kufeli mara 40, utafutiwa mtihani mara 36 na utakimbi bila kumaliza.
Iyo paragraph ya mwisho ipuuze ni tangazo la mdhamini
Sent from my iPhone using JamiiForums





hahaha nakutishia tu mkuu. Tuition kwa somo ina range btn 100k-150k, kulipia bodi inarange 80k-150k kwa somo depends on level. Kwa hesabu za haraka kama utafanya bila kufeli andaa kama 3M (apo nimekadiria utafanya mitihani 12).
Ukiacha bia na mademu unamudu hizi gharama mkuu
Usitilie maanani paragraph ya mwisho![]()



SWALI GUMU SANA KULIJIBU ILA KWA UFUPI PITIA MTANDAO WA BODI YA MIKOPO KWA MAELEKEZO ZAIDI YA JINSI YA KUPATA MKOPOSamahan pia mkuu naomba kuuliza,
Vipi kwenye issue ya Loan kwa aliyetoka diploma anayetaka kuunganisha Bachelor.Mkopo upo wa kusatisfy?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok sawa sawa mkuuSWALI GUMU SANA KULIJIBU ILA KWA UFUPI PITIA MTANDAO WA BODI YA MIKOPO KWA MAELEKEZO ZAIDI YA JINSI YA KUPATA MKOPO
huu ni mfumo wa kielimu wa kizamani ambao baadaye ulifutwa nadhani kwenye miaka ya 2010. zamani mkimaliza form six kulikuwa na cut point ya kwenda vyuo vikuu na colleges. university walikuwa wakitoa Degree ila college walikuwa wakitoa Advanced Diploma ambayo ni sawa na degree mana mkifaulu nyote mnaaendelea masters. vyuo kama cbe, ifm, IAA,TIA walikuwa wakitoa advanced diploma ila UDSM walikuwa wanatoa degree. ila ni mfumo ambao hautambuliki duniani mana niliwahi kufanya scholarship questionaire wakaniuliza advanced diploma ni equivalent na nini, nikawajibu bachelor wakasema hatuna kiwango hicho.
Shukran mkuu kwa ufanunuzi mzuri,hapo nimekuelewa vzr na wengi wetu tumepata mwangahuu ni mfumo wa kielimu wa kizamani ambao baadaye ulifutwa nadhani kwenye miaka ya 2010. zamani mkimaliza form six kulikuwa na cut point ya kwenda vyuo vikuu na colleges. university walikuwa wakitoa Degree ila college walikuwa wakitoa Advanced Diploma ambayo ni sawa na degree mana mkifaulu nyote mnaaendelea masters. vyuo kama cbe, ifm, IAA,TIA walikuwa wakitoa advanced diploma ila UDSM walikuwa wanatoa degree. ila ni mfumo ambao hautambuliki duniani mana niliwahi kufanya scholarship questionaire wakaniuliza advanced diploma ni equivalent na nini, nikawajibu bachelor wakasema hatuna kiwango hicho.
wasomi wa sasa hii kwenu ni msamiati mpya kama enzi zetu tukisikia muhasibu ana NAD au NABOCE tunaona kama kitu kipya. kila zama na kitabu chake
ubarikiwe sana kakaShukran mkuu kwa ufanunuzi mzuri,hapo nimejuelewa vzr na wengi wetu tumepata mwanga
Sent using Jamii Forums mobile app
D. I. T Nafikiri bado wanatoa kwa degree ya miaka 4 kama ikitokea umesoma miaka 3 unapewa advanced diplomahuu ni mfumo wa kielimu wa kizamani ambao baadaye ulifutwa nadhani kwenye miaka ya 2010. zamani mkimaliza form six kulikuwa na cut point ya kwenda vyuo vikuu na colleges. university walikuwa wakitoa Degree ila college walikuwa wakitoa Advanced Diploma ambayo ni sawa na degree mana mkifaulu nyote mnaaendelea masters. vyuo kama cbe, ifm, IAA,TIA walikuwa wakitoa advanced diploma ila UDSM walikuwa wanatoa degree. ila ni mfumo ambao hautambuliki duniani mana niliwahi kufanya scholarship questionaire wakaniuliza advanced diploma ni equivalent na nini, nikawajibu bachelor wakasema hatuna kiwango hicho.
wasomi wa sasa hii kwenu ni msamiati mpya kama enzi zetu tukisikia muhasibu ana NAD au NABOCE tunaona kama kitu kipya. kila zama na kitabu chake
sawa sawa mkuu kwa ushauri mzuriKasome degree ndio uanze hio cpa, siku hizi kazi nyingi wanatafuta combination ya degree na cpa vyote kwa pamoja, kitu kingine hio cpa ina mitihani migumu na MTU asipojiangalia unaweza kupoteza miaka na miaka.....Fanya degree kwanza
Hahahah yaan kwa jinsi watu wanavyodondosha wino hapa kuna uwezakono mkubwa nipige chini tuu hii issue
Kuna masomo kama Management Accounting bila kugusa chuoni kwanza huku kwenye CPA utahangaika sanaHahahah yaan kwa jinsi watu wanavyodondosha wino hapa kuna uwezakono mkubwa nipige chini tuu hii issue
Sent using Jamii Forums mobile app