Msaada:: Computer yangu inachelewa kuwaka.

Msaada:: Computer yangu inachelewa kuwaka.

Asu tz

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
336
Reaction score
86
Habar wana jf, tatizo langu n computer yangu inachelewa kuwaka na kuzima kuna maneno fulan huwa yanapenda kutokea( window update ) sielew nifanye nn na mm sio mtaalam wa maswala haya ya IT msaada tafadhal.
 
It is either overloaded or attacked by VIRUS...So you either delete less important files(unpack from your computer to backup) or you buy the most effective working antivirus for assistance....
 
Habar wana jf, tatizo langu n computer yangu inachelewa kuwaka na kuzima kuna maneno fulan huwa yanapenda kutokea( window update ) sielew nifanye nn na mm sio mtaalam wa maswala haya ya IT msaada tafadhal.

Inapochelewa kuwaka mimina mafuta ya taa,diseli au petroli alafu uwe na kiberiti. Inapochelewa kuzima, chukua ndoo ya maji au maziwa na uimiminie.Itazima hapo hapo, in fact, itakufa.

Usijali ikifa, kuna mbinu za kuifufua.....wataalamu watakuja kukusaidia hapa.

Usijaribu kutekeleza ushauri huu kama wewe sio fundi wa computer.

Wasaidie wataalamu wa hayo madudus kwa kujieleza vizuri ili wakupe msaada stahiki.

Unatumia Computer ya aina gani? model, system inayotumia, windows version ipi? ukubwa wa disc, na wewe umeshatumia asilimia ngapi ya disc?

Program zipi,ngapi zinajianzisha zenyewe wakati unapowasha computer yako.

Je unatumia anti-virus? moja,mbili, tatu kwa wakati mmoja?.

Ukijieleza vizuri utapata msaada unaouhitaji,dugu.
 
Habar wana jf, tatizo langu n computer yangu inachelewa kuwaka na kuzima kuna maneno fulan huwa yanapenda kutokea( window update ) sielew nifanye nn na mm sio mtaalam wa maswala haya ya IT msaada tafadhal.

Kwa maelezo yako inaelekea inakuwa ina install updates za window ilizo download. Kama vipi disable hiyo function
 
Unatumia operating system gani? nijibu mapema nikusaidie. Kama unatumia windows xp unaweza kufuatisha steps HIZI.
 
Natimia HP mkuu, window 7 ukUbwa wa hard disc 232GB, Ram 1GB Ambazo zimetumika n kama 100GB hv mkuu.
 
Usizime Windows Update, utajipunguzia security bure. RAM ni ndogo sana kwenye PC yako mambo lazima yawe slow, jitahidi kuweka 4GB kama inakubali uwe unatumia kwa raha zaidi.
 
Mkuu kwa ilo tatzo lako mimi kama mtaalam wa computer nakushauri yafuatayo
1. Disable iyo option ya automatic update coz as far as i know kwa matmiz ya kawaida haina effect yoyote.
2. Tafuta external hdd il mambo yako meng uyahifadhi hko na uiachie comp space ya ktosha.
3. Angalia uwezekano wa kureplace iyo RAM yako kwa kubwa yake.
 
Unajua asilimia 98 ya watumiaji wa windows wote tanzania tunatumia Piarated software. mimi ninapopiga mzigo kwenye computer za wateja wangu na ya kwangu pia huwa na disable automatic updates zote. af kama computer yako ina muda mrefu sana tangu umeweka windows angalia tempolary files uzi delete zote maana yawezekana una download sana so huwa yanabakia temp files kila unapo download, yawezekana pia computer yako imekuwa attacked na virus ambao ni hungry to your ram so kila unapowasha wao wanawahisha mafile yao kwenye ram yako na wanachukua space hata kabla windo kumaliza ku intialize mafaili yake so compute inakuwa slow. unaweza kuwa unainstall vijiprogram vingi sana kwenye computer yako ambavyo huvitumii, vipunguze,lastly ukiwa mtumiaji wa internet kama firewal ipo disebled huwa kuna vijiprograms vingi sana vinaji install bila wewe kujua hivi navyo huwa vinajaza hdd na ram pia.
 
Unajua asilimia 98 ya watumiaji wa windows wote tanzania tunatumia Piarated software. mimi ninapopiga mzigo kwenye computer za wateja wangu na ya kwangu pia huwa na disable automatic updates zote. af kama computer yako ina muda mrefu sana tangu umeweka windows angalia tempolary files uzi delete zote maana yawezekana una download sana so huwa yanabakia temp files kila unapo download, yawezekana pia computer yako imekuwa attacked na virus ambao ni hungry to your ram so kila unapowasha wao wanawahisha mafile yao kwenye ram yako na wanachukua space hata kabla windo kumaliza ku intialize mafaili yake so compute inakuwa slow. unaweza kuwa unainstall vijiprogram vingi sana kwenye computer yako ambavyo huvitumii, vipunguze,lastly ukiwa mtumiaji wa internet kama firewal ipo disebled huwa kuna vijiprograms vingi sana vinaji install bila wewe kujua hivi navyo huwa vinajaza hdd na ram pia.

Nami pia nakushukuru sana kwa ushauri huo mana hata mimi yananikutaga sana hayo. Mi niko na Latitude D620 RAM 1GB,Processor ni 1.83GHz lkn ni Duo Core. Hadi leo sijapata kujua Ni Antivirus gani ni best for my PC. Tafadhali nami nisaidie!!!
 
scan pc kuondoa virus kwakutumia strong antirus kama Kaspersky na iwe updated 100%
Install only one anti virus app kwenye pc yako
Safisha windows yako kuondoa temp files. etc by using software like Ccleaner.
Unistall unused softwares by using Revo Uninstaller
Disable same startup programs
Repair registry
If unatumia pirated windows disable Automatic window update

Kaka fanya hivyo afu utuambie matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom