Msaada kuhusu hard disk ya movie

sam green

Senior Member
Feb 21, 2020
176
256
Habari wana JF,

Mimi ni muuzaji wa movie mbalimbali nina wahudumia wateja wangu kwa kuwawekea movie kwa flash, sasa tatizo moja limenipata nilikuwa naomba msaada nina hddsk TB 4 imejaa movie, ilikuwa vizur tu, toka mda almst miaka miwili sasa.

Juzi asubuhi nilikuwa nawasha computer, nakuta inawaka inaishia kwenye logo ya windows tuu haiendi mbelee, ikaja kukubali kuwaka, baada ya kuzima washa zaid ya mara 5 katka hddsk zangu zote zinafnguka vizur tu ila hyo moja imekuwa nzito ukifngua folder, zna fnguka kwa kuchelewa movie zilizomo, kama waweka kwa flash zinachukuaa mdaa sana sometimes zinaganda tu.

Hata ukitaka ku copy movie ziende kwa hddsk nyngne, zinagomaa ila kuna wakati zinaendaaa ila mara nyingi zinagomaaa, msaaada nifanyeje ili hddsk iwe kama kawaida au nifanye nini! Ili ku solve hii inshu.

Natanguliza shukran.
 
Drive booster ni uongo mtupu na probably malware. Chance kubwa zaidi hiyo drive yako itakuwa inaelekea kufa, fanya haraka uhamishe data zako.
 
Ngoja nikwambue tu iyo disk health itakua imesha shuka
Cha kufanya intall software inayo itwa hard disk essential angalia health na perfomanc ya iyo disk afu uje unimbie

Copy vtu vyako faster mana disk hako soon inakufa na ndo utakua ushapoteza kila kitu

Itoe kwenye computer mana uwez rudizha uwezowake kama ule aa zaman zaid zaid ikiendelea kuepo itafanya computer yako kua nzito

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nikwambue tu iyo disk health itakua imesha shuka
Cha kufanya intall software inayo itwa hard disk essential angalia health na perfomanc ya iyo disk afu uje unimbie

Copy vtu vyako faster mana disk hako soon inakufa na ndo utakua ushapoteza kila kitu

Itoe kwenye computer mana uwez rudizha uwezowake kama ule aa zaman zaid zaid ikiendelea kuepo itafanya computer yako kua nzito

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sawa sasa hv naletaa details zake
 
Back
Top Bottom