Msaada: Computer yangu haikamati WI-FI tena

Msaada: Computer yangu haikamati WI-FI tena

Plan Of Action

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2016
Posts
462
Reaction score
382
Habari za mida hii wakuu?
Natumia laptop aina ya HP, hii laptop ilikuwa inashika Wi-fi kutoka kwenye simu yoyote au mahali popote penye wireless inanipa notifications na natumia bila shida kama kuna access.

Lakini ajabu sasa wireless hazifanyi kazi mpaka nitumie USB kwenye simu. Kwa kweli shida za moderm nilikuwa nimemalizana nazo. Sasa nashindwa kuelewa tatizo liko wapi.

Naombeni msaada wenu wakuu.
 
Mimi pia nina shida kama hiyo kwenye computer yangu nilionunua yenyewe ina windows 8,kuna mtu akaniambie ni install Virtual router plus bila mafanikio,nikifika mahali inahitaji vitu vingine zaidi.
 
Itakukuwa kuna batani umeibonyeza kuzima wifi....angalia vizuri batani zote hasa za pembeni...
 
Itakukuwa kuna batani umeibonyeza kuzima wifi....angalia vizuri batani zote hasa za pembeni...
mkuu asante sana.. kuna button ya f12 naona ina alama ya kama mnara halafu inawaka kataa keupe!
vipi inaweza kuwa hio?
 
habari za mida hii wakuu?
natumia laptop aina ya HP, hii laptop ilikuwa inashika Wi-fi kutoka kwenye simu yoyote au mahali popote penye wireless inanipa notifications na natumia bila shida kama kuna access.
lakini ajabu sasa wireless hazifanyi kazi mpaka nitumie USB kwenye simu..
kwa kweli shida za moderm nilikuwa nimemalizana nazo..
sasa nashindwa kuelewa tatizo liko wapi..
naombeni msaada wenu wakuu..
Kwnye keyboards hapo kuna button ya WI-FI utaona kimnara jaribu kuiwasha ikigoma fanya hvi
Nenda kwnye my computer
Right click thn fungua sehem imeandikwa manage
Utaona sehem kuna device manager
Fungua hapo uangalie myb driver za wireless zitakuwa disabled
 
Kwnye keyboards hapo kuna button ya WI-FI utaona kimnara jaribu kuiwasha ikigoma fanya hvi
Nenda kwnye my computer
Right click thn fungua sehem imeandikwa manage
Utaona sehem kuna device manager
Fungua hapo uangalie myb driver za wireless zitakuwa disabled
Hata mimi natumia HP nina tatizo kama ilo. Lakini yangu Wifi ipo lakini haina nguvu kabisa. Yaani mnara haufiki hata mawe matatu. Cjui tatizo ni nini?
 
me simu yangu ndo ina shida iyo nifikiria kuiuza soon coz cjui nifanyeje mwenye idea anihelp
 
Kunakuwaga na button ya Wi-Fi angalia Kama hujaizima
 
wakuu kwa toshiba inakuwaje ikiwa tatizo ni kama lilivyowasilishwa na mkuu hapo juu?
 
Nami kwa Dell yangu nifanyeje nina tatizo hilo
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Jaman na yangu lap top ina ram 2 gb naweza weka ikawa 4gb
 
hahahaha plan Africa umeokoe weng.maana kila mtu ameleta ttzo la Wi-fi ake.
 
Jaman na yangu lap top ina ram 2 gb naweza weka ikawa 4gb
Ndio inawezekana, nakushauri nenda nayo dukani, utapata mtaalam wa kukuchagulia RAM ambayo ni compatible na laptop yako na akakuwekea kabisa.
 
Iamuru ikamate shemeji!
By the way inawezekana wireless modem imekufa au driver tha wireless zime crash... Kama vipi unistall hizo driver uizi install upya...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom