Flash yangu TOSHIBA 16GB inatatizo hili.. Msaada nifanyeje???

Methyl phenol

Senior Member
Jul 22, 2021
184
272
Hello wapendwa wa jf samahanini nna tatizo kidogo nna flash yang ndogo tu 16gb n toshiba nmechukua miezi michache iliyo pita nkawa nahifadhia vitu vyangu muhimu ( music videos, movie chache na Lectures zangu muhimu sanaa) na haikua na shda yoyote binafs vitu vyote hvyo nlikua navi download kutoka kwenye simu yangu navihamishia kwenye flash kuptia OTG then natumia kwenye tv kwaio io flash ilitumika na vitu viwili tu tv na simu

ila kuna mda rafki angu alitumia kwenye computer na laptop lakn n mara chache sanaaa

Sasa imekuja kuzingua nikiweka kwenye simu inasoma ila haifunguki yani inakua tu kama nimeweka USB na kwenye computer na pc inaonyesha kama USB tu

Kuna mtu alinambia shda ni kuchanganya simu na computer kama ni kweli Msaada nifanyaje??

sababu kama ni virus nnauhakika haina
 
Mimi pia wamekuja wageni kutoka Poli huko wamechukua flash yangu wameenda kwenye kibanda kuwekewa movie zilizo tafsiliwa kiswahili cha ajabu wakafuta na movie zangu kali za 1080p ili wapate nafasi zaidi ya kuweka movie zao sasa hivi nikiichomeka kwenye simu inanitaka nii format ndio niitumia
 
Mimi pia wamekuja wageni kutoka Poli huko wamechukua flash yangu wameenda kwenye kibanda kuwekewa movie zilizo tafsiliwa kiswahili cha ajabu wakafuta na movie zangu kali za 1080p ili wapate nafasi zaidi ya kuweka movie zao sasa hivi nikiichomeka kwenye simu inanitaka nii format ndio niitumia

Daaah naona bora ata wewe inakupa option ya kuformat me selew ata cha kufanya
 
Hello wapendwa wa jf samahanini nna tatizo kidogo nna flash yang ndogo tu 16gb n toshiba nmechukua miezi michache iliyo pita nkawa nahifadhia vitu vyangu muhimu ( music videos, movie chache na Lectures zangu muhimu sanaa) na haikua na shda yoyote binafs vitu vyote hvyo nlikua navi download kutoka kwenye simu yangu navihamishia kwenye flash kuptia OTG then natumia kwenye tv kwaio io flash ilitumika na vitu viwili tu tv na simu

ila kuna mda rafki angu alitumia kwenye computer na laptop lakn n mara chache sanaaa

Sasa imekuja kuzingua nikiweka kwenye simu inasoma ila haifunguki yani inakua tu kama nimeweka USB na kwenye computer na pc inaonyesha kama USB tu

Kuna mtu alinambia shda ni kuchanganya simu na computer kama ni kweli Msaada nifanyaje??

sababu kama ni virus nnauhakika haina
Yawezekana ikawa ni file system jaribu kuifomart kwa kutumia command line nadhan itakubali kama bado nzima.
 
Hapo ndyo imekufa hiyo flash maana nshawah experience ishu kama hiyo
Yangu nlikuwa natumia kwenye simu otg na tv lakin kuna siku nkaiwekea movie hiz za wadau wa stationery kuja kuweka kweny tv haikusoma,weka kwenye simu kwa otg amna kitu ila kwenye bufa ikawa inasoma audio mwisho wa siku haikusoma kila kitu bas nkaitupa
Naona na yako itakuwa ivyo mm sikuweza kuaccess vitu vyangu vilivuomo kwenye flash tena vilipotea..
 
Mimi pia wamekuja wageni kutoka Poli huko wamechukua flash yangu wameenda kwenye kibanda kuwekewa movie zilizo tafsiliwa kiswahili cha ajabu wakafuta na movie zangu kali za 1080p ili wapate nafasi zaidi ya kuweka movie zao sasa hivi nikiichomeka kwenye simu inanitaka nii format ndio niitumia
Hii imecorrupt. Unaweza kuirepair kwa kufanya checkdsk kwa CMD ama kurepair bad sectors kwenye usb properties.
 
Hello wapendwa wa jf samahanini nna tatizo kidogo nna flash yang ndogo tu 16gb n toshiba nmechukua miezi michache iliyo pita nkawa nahifadhia vitu vyangu muhimu ( music videos, movie chache na Lectures zangu muhimu sanaa) na haikua na shda yoyote binafs vitu vyote hvyo nlikua navi download kutoka kwenye simu yangu navihamishia kwenye flash kuptia OTG then natumia kwenye tv kwaio io flash ilitumika na vitu viwili tu tv na simu

ila kuna mda rafki angu alitumia kwenye computer na laptop lakn n mara chache sanaaa

Sasa imekuja kuzingua nikiweka kwenye simu inasoma ila haifunguki yani inakua tu kama nimeweka USB na kwenye computer na pc inaonyesha kama USB tu

Kuna mtu alinambia shda ni kuchanganya simu na computer kama ni kweli Msaada nifanyaje??

sababu kama ni virus nnauhakika haina
Kama unamafile ya mhimu ukipata PC zenye Linux os inaweza kufungua coz haiathiriwi na virus san
 
Flash na hard drive zinaweza kufa muda wowote kwa sababu mbalimbali hivyo ni muhimu kuwa na backup ya data yoyote muhimu, online backup kama GDrive au dropbox ni bure kwa kiasi kidogo cha mafile na haiwezi "kufa" kama physical device, movie hazina haja ya backup unaweza kudownload upya. Recovery labda inawezekana kutegemea na tatizo ni nini na muda na gharama ambayo mtu yuko tayari kuingia, ni vigumu kujua tatizo bila kuonana na wataalamu.
 
Back
Top Bottom