Jokia
Member
- Feb 18, 2015
- 93
- 178
Wakuu salama humu?
Naombeni msaada katika hili. Mahali nilipo huduma ya internet kupitia mitandao ya simu haipatikani na ikitokea inasoma E kiasi kwamba siwezi fanya cha maana kwa kutumia mtandao.
Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuunganishiwa wireless internet ili niwe natumia wi-fi badala ya kuwasha data kwenye simu. Je, uwezekano upo na gharama itakuaje kwa mwezi au mwaka?
Asanteni.
Naombeni msaada katika hili. Mahali nilipo huduma ya internet kupitia mitandao ya simu haipatikani na ikitokea inasoma E kiasi kwamba siwezi fanya cha maana kwa kutumia mtandao.
Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuunganishiwa wireless internet ili niwe natumia wi-fi badala ya kuwasha data kwenye simu. Je, uwezekano upo na gharama itakuaje kwa mwezi au mwaka?
Asanteni.