Msaada: Chuo kipi kinatoa digrii nzuri ya sheria

Msaada: Chuo kipi kinatoa digrii nzuri ya sheria

Wewe ndiyo utulie na ukae pembeni maana hujui unachokiandika mkuu.

Wakiingia hata ishirini kwa intake moja hao ni wengi kulingana na idadi ya chuo walikutoka.

Kati ya hao ishirini walioingia wakatoka watano first sitting wengine wakapata sup huwezi kusema wamefaulu hata siku moja.
Tunaangalia wamaeingia wangapi na waliotoboa ni kiasi gani.
Haa Haa! Nimejikuta Nacheka Kwa
Mabishano Yenu Mkuu.
All I Can Say
A Good Lawyer Knows Law
But Smart Lawyer Knows The Judge
Regardless Where He Or She Learnt
Law.
 
Haa Haa! Nimejikuta Nacheka Kwa
Mabishano Yenu Mkuu.
All I Can Say
A Good Lawyer Knows Law
But Smart Lawyer Knows The Judge
Regardless Where He Or She Learnt
Law.
Nawaelesha hawa wadogo zetu kuwa kusoma chuo Fulani siyo ndicho kitakupelekea uwe vizuri Bali ni wewe mwenyewe.
 
Udsm ya zamani siyo ya sasa mkuu. Kuna vilaza hatari kule.

Taja junior Advocate anayewika sasa hivi kama utamkuta aliyesoma udsm.
Wakili Msomi Albert Msando.
( Udsm Product).
Msomi Humphery Polepole
( Udsm Product).
Msomi Ridhiwani Kikwete
( Udsm Product).
Msomi John Mallya
( Udsm Product).
Msomi John Mnyika
( Udsm Product)
Etc.
 
Wakili Msomi Albert Msando.
( Udsm Product).
Msomi Humphery Polepole
( Udsm Product).
Msomi Ridhiwani Kikwete
( Udsm Product).
Msomi John Mallya
( Udsm Product).
Msomi John Mnyika
( Udsm Product)
Etc.
Lissu Tundu UDSM

Njoo udsm ila Ujiandae ku-sup na ku-carry over sana kama hausomi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Upo Makini Law Is Good Sana
Ukiwa Na Muhuri Wako Unaweza Kujiajiri Mwenyewe Na Ukisha Kuwa
Na Jina Mkuu Sahau Umaskini.
Sikatai Mwanzo Mgumu Lakini Hutojuta Baadae.
thanks sana mkuu
 
Haijawahi kutokea hiyo kitu mkuu.

Labda cohort gani walifaulu mpaka watu wakalalamika?

Jaribu kufuatilia hali ya wanafunzi wa Udsm kule law school hautanibishia aisee.

Nakumbuka cohort ya 23 nilikutana na mwanafunzi wa udsm ni bonge la kilaza maana kuna scenario Fulani nilimpa then nikamuuliza huyo mtu angeshitakiwa kwa makosa gani? Nikashangaa anasema ATTEMPT TO CORRUPTION ilibidi nimulize kasoma chuo gani akasema Udsm. Ilibidi nisepe zangu.

Attempt to corruption ndiyo kosa gani.
Tatizo mliosomi vyuo vya kata hamjiamin mkija law school pale mkiona product za udsm mnatetemeka mnaleta maswali na visenerior vya kitoto ndo maana majembe ya udsm wanawachora tu mwisho wa siku wakija chomoka first sitting mnasema wanapendelewa siku zote wanaojua vitu wako kimya matokeo yakitoka ndo mnaanza kulalamika. Udsm ni next level
 
Kama hukusoma kati ya vyuo vifuatavyo hapa bongo wewe ni "KILAZA"
1. UDSM
2. Mzumbe
3. SUA
4. DIT
5. Muhimbili
6. Ardhi university

Sent from koromije using bashite
 
Kama hukusoma kati ya vyuo vifuatavyo hapa bongo wewe ni "KILAZA"
1. UDSM
2. Mzumbe
3. SUA
4. DIT
5. Muhimbili
6. Ardhi university

Sent from koromije using bashite
Uchochezi
 
Fanya ufanyavyo hakikisha unasoma chuo alichosoma ANDREW CHENGE. Haki vile mimi natamani muda urudi nyuma
 
Wakili Msomi Albert Msando.
( Udsm Product).
Msomi Humphery Polepole
( Udsm Product).
Msomi Ridhiwani Kikwete
( Udsm Product).
Msomi John Mallya
( Udsm Product).
Msomi John Mnyika
( Udsm Product)
Etc.
John mnyika alimaliza mwaka gani vile hapo UDSM?? hao wengine hawajulikani sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakili Msomi Halima Mdee
( Udsm Product )
 
Back
Top Bottom