Msaada: Chuo kipi kinatoa digrii nzuri ya sheria

Msaada: Chuo kipi kinatoa digrii nzuri ya sheria

Wakili Msomi Albert Msando.
( Udsm Product).
Msomi Humphery Polepole
( Udsm Product).
Msomi Ridhiwani Kikwete
( Udsm Product).
Msomi John Mallya
( Udsm Product).
Msomi John Mnyika
( Udsm Product)
Etc.
Ridhiwan naye ni wakili msomi???
 
Umemjibu vizuri mkuu akikimbilia udsm idadi ya wanafunzi ni wengi hata presentation hazitakuwa na ubora.

Sent using Jamii Forums mobile app
No mkuu... Présentation si in groups kila grup na siku zao af law hawapo wengi wachache sana... Issue ni kuwa ya ud inaonekana ngumu mana inakazwa sana... Afu hawabebi bebi watu yan... Hujui hujui... Inahitaj commitment la sivo utabak unalialia kuhama chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No mkuu... Présentation si in groups kila grup na siku zao af law hawapo wengi wachache sana... Issue ni kuwa ya ud inaonekana ngumu mana inakazwa sana... Afu hawabebi bebi watu yan... Hujui hujui... Inahitaj commitment la sivo utabak unalialia kuhama chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaijua Ud au umesimuliwa mkuu.Elimu ya chuo hakuna kujua uwe na one or three vyovyote vile kujisomea ndio kutakusaidia usikimbilie jina ud utamaliza hujui ww ni nan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaijua Ud au umesimuliwa mkuu.Elimu ya chuo hakuna kujua uwe na one or three vyovyote vile kujisomea ndio kutakusaidia usikimbilie jina ud utamaliza hujui ww ni nan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nin hujakielewa hapo.. Simaanishi one au two au nin.. Namaanisha ü serios katk vyuo ud namber one.. Waulze UDSoL watakupa mchapo vzur.. Nakijua nmegraduate hapo hiyohiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nin hujakielewa hapo.. Simaanishi one au two au nin.. Namaanisha ü serios katk vyuo ud namber one.. Waulze UDSoL watakupa mchapo vzur.. Nakijua nmegraduate hapo hiyohiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Cjaelewa vingi mkuu.Hata mm pia nimesoma ud nachojalibu kumweleza mleta hoja afanye utafiti kidogo mfano mzuri niliwahi tembelea mzumbe na Ruco walikokuwa wanasoma wenzangu nilifurahi style yao ya usomaji presentation za kutosha zinazowajenga sana wanafunzi nikalingani na kwetu ud nikaona kuna tofauti sana.Hoja yako ya chuo bora mm huwa siizungumzii sababu vigezo vya kuita Elimu bora ni matokeo ya aliyepata Elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cjaelewa vingi mkuu.Hata mm pia nimesoma ud nachojalibu kumweleza mleta hoja afanye utafiti kidogo mfano mzuri niliwahi tembelea mzumbe na Ruco walikokuwa wanasoma wenzangu nilifurahi style yao ya usomaji presentation za kutosha zinazowajenga sana wanafunzi nikalingani na kwetu ud nikaona kuna tofauti sana.Hoja yako ya chuo bora mm huwa siizungumzii sababu vigezo vya kuita Elimu bora ni matokeo ya aliyepata Elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nlichogundua kwenye kazi mkuu kipaumbele Ni Ud hâta kama wa chuo kingne kakuzidi GPA ndo mambo nlokutana nayo... Kwa hiyo kuna kitu cha itofauti hapo ila point nataka unielewe Ni elimu pâle hai bebi bebi hicho cha mcngi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom