Huwa wanahesabu masomo mawili, yeye hapo ana point 4 katika masomo mawili so Mzumbe ni 4.5, UDSM ni 5 so utaona hadi hapo hafit kote ila vyuo vingine kama UDOM, SAUT, TUMAINI, IRINGA UNIVERSITY, RUCO, SEBASTIAN KOLOWA, JORDAN UNIVERSITY etc vinatoa degree ya sheria ila kumbuka 4.0 ndo minimum requirement so competition inakua kubwa hadi wachukuliwe wenye sifa kubwa kwanza then nafasi zinazobaki ndo wanapata hao wenye point hizo za mwisho... In short bila kumkatisha tamaa kwa point hizo kwakweli akipata degree ya law akatoe zaka na sadaka 100% maana itakua ni bahati kubwa
Sent using
Jamii Forums mobile app