Msaada: Chuo kipi kinatoa digrii nzuri ya sheria

Msaada: Chuo kipi kinatoa digrii nzuri ya sheria

Kwa ufaulu huo usipoteze pesa yako kuomba sheria Mzumbe,hawatakuchukua!

Ila kwa sheria Mzumbe ni chuo kizuri.
Mkuu vp two ya 10 mzumbe ntapata?
 
Degree nzur ni kichwa chako tu vilaza wako evrywher na wenye akil same sema public universty nimesoma hazina longolongo soko la ajira halina cha chuo tenaaaa
 
smhn mkuu kat ya Law , Health mangmmnt, na Human resource management niende ipi kwa mtazamo wako? Bnfs nimeona hzo ni bora

Fanya unachokipenda soko la ajira kwa hr na law lina watu weng mbaya hata hio health management soma kwa bidii make a difference kuwa na akl ya kujiajiri kupitia ulichosoma
 
smhn mkuu kat ya Law , Health mangmmnt, na Human resource management niende ipi kwa mtazamo wako? Bnfs nimeona hzo ni bora
Soma kitu ambacho kitakusaidia kujiajiri mkuu.

Mfano ukisoma law na ukawa wakili muhuri wako ni ajira tosha.

Ila human resources management sijui utajiajiri vipi kutokana na ukichokisimea.
 
Eti robo tatu pole Sana. Udsm wanaongoza kwa kufeli ulizia utawaambiwa. Huwa wanaingia wengi ila wanaochomoka utakuta ni wacheche sana.
Hujui unachokiandikaa udsm wanaingia wengi ukilinganisha na wapi! Pale lst wanafunzi wanaoingia wengi ni saut udsm ni wachache kwasababu wanamaliza wachache
 
smhn mkuu kat ya Law , Health mangmmnt, na Human resource management niende ipi kwa mtazamo wako? Bnfs nimeona hzo ni bora
Kama Upo Makini Law Is Good Sana
Ukiwa Na Muhuri Wako Unaweza Kujiajiri Mwenyewe Na Ukisha Kuwa
Na Jina Mkuu Sahau Umaskini.
Sikatai Mwanzo Mgumu Lakini Hutojuta Baadae.
 
Hujui unachokiandikaa udsm wanaingia wengi ukilinganisha na wapi! Pale lst wanafunzi wanaoingia wengi ni saut udsm ni wachache kwasababu wanamaliza wachache
Wewe ndiyo utulie na ukae pembeni maana hujui unachokiandika mkuu.

Wakiingia hata ishirini kwa intake moja hao ni wengi kulingana na idadi ya chuo walikutoka.

Kati ya hao ishirini walioingia wakatoka watano first sitting wengine wakapata sup huwezi kusema wamefaulu hata siku moja.
Tunaangalia wamaeingia wangapi na waliotoboa ni kiasi gani.
 
Itakuwa unaishi nje ya nchi, udsm wamekuwa wakifaulu mpaka wanafunzi wa vyuo vingine wakawa wanalalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
Haijawahi kutokea hiyo kitu mkuu.

Labda cohort gani walifaulu mpaka watu wakalalamika?

Jaribu kufuatilia hali ya wanafunzi wa Udsm kule law school hautanibishia aisee.

Nakumbuka cohort ya 23 nilikutana na mwanafunzi wa udsm ni bonge la kilaza maana kuna scenario Fulani nilimpa then nikamuuliza huyo mtu angeshitakiwa kwa makosa gani? Nikashangaa anasema ATTEMPT TO CORRUPTION ilibidi nimulize kasoma chuo gani akasema Udsm. Ilibidi nisepe zangu.

Attempt to corruption ndiyo kosa gani.
 
Back
Top Bottom