Umemjibu vizuri mkuu akikimbilia udsm idadi ya wanafunzi ni wengi hata presentation hazitakuwa na ubora.
Nenda SAUT wako vizuri sana, ukikosa SAUT nenda UDSMWakuu samahani eti kwa Tanzania hapa ni chuo gani kinajitahidi kutoa Llb nzuri kwa miaka ya hivi karibuni?
Degree ya chuo chochote ni nzuri ila inategemea wewe msomaji utaitumia vp maana waweza soma kwenye chuo maarufu mwishoni mwa Siku unakuja unakuwa kama yule mropokaji aliyopo locked up.Wakuu samahani eti kwa Tanzania hapa ni chuo gani kinajitahidi kutoa Llb nzuri kwa miaka ya hivi karibuni?
Sijakuelewa Unamaanisha St. John University Ndo Cha Kwanza Kwa LL.B?
Kwa ufaulu huu wa division III ya point 13,HKL.Mzumbe hutojutia karib
Kwa ufaulu huo usipoteze pesa yako kuomba sheria Mzumbe,hawatakuchukua!Kwa ufaulu huu wa division III ya point 13,HKL.
General study-S
History-E
Kiswahili-C
English language E
Watampokea hapo mzumbe,kwa kozi hiyo ya sheri?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kupata sababu cut off point yaan minimum requirements za chuo cha Mzumbe ni 4.5 kwa masomo mawili katika fani ya sheria so kwa matokeo hayo asahau law ya Mzumbe... UDSM ndo kabisa hata mwenye division 2 kakalia kuti kavu maana competition ni ya kutosha huko...Kwa ufaulu huu wa division III ya point 13,HKL.
General study-S
History-E
Kiswahili-C
English language E
Watampokea hapo mzumbe,kwa kozi hiyo ya sheri?.
Sent using Jamii Forums mobile app