mrs fiance
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 350
- 163
- Thread starter
- #21
Lakini cha kwangu ni cha chuma[emoji37][emoji37]
AsanteMwite fundi home aangalie kama kinaweza kutolewa kabla hujapeleka tv kwa mafundi.
Haina uwezeka mwingine mpaka ifungulie?KINAWEZA TOLEWA ASILIMA 10000% LAZIMA TV IFUNGULIWE UNAKISUKUMA TU NA BISIBISI (SCREW DRIVER)
Panya ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iweke motoni .....
[emoji23][emoji23]Uyo ni mrs
Chukua pini ichome kwenye moto akikisha ina moto mkal kisha chomema kwenye hizo pin bada ya mda vutaUnachomoaje wakati kimekatikia kwa ndani kabisa???
Ntajaribu.ivi Zinauzwa wapi hivi?Tafuta sumaku kitatoka tu
Uko wapi nije kukutolea utanilipia mafuta ya gari..!Ntajaribu.ivi Zinauzwa wapi hivi?
Mkuu tafuta ile sindano ya super glue kichome kwa nguvu kama unakisukumia huko (kitazama ndani kabisa)wee sukuma kwa nguvu kama unakisukumia huko hiyo sindano itazama kikishafika mwisho ndani yana alfu hiyo sindano vuta kwa nguvu inakitoa au chukua super glue paka hapo kwa ndani kwenye hiyo pin ilukatika weka kama unachomeka pale ilipokuwa kwenye hiyo ilokatika subiri dakika chache inase ukichomoa hiyo pin inakitoa!!ukiweza lete mrejesho!![emoji86] [emoji86]Habari naombeni msaada .ni hivi kuna zile nyaya za kuunga Nisha TV na deki.sasa kuna vile viwaya (kichwa) vinavyochomekwa vinavyoingia kwenye TV kimekatikia ndani ya TV na ni baada ya zile waya kuwekwa vibaya. kinaweza kutolewa kweli? Au ndo siangalii CD videos.
HAKIWEZI KUTOKA BILA KUFUNGUA NASHAURI KM FUNDIHaina uwezeka mwingine mpaka ifungulie?
Ngoja nifanye hivyo ntaleta mrejesho .asante we[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu tafuta ile sindano ya super glue kichome kwa nguvu kama unakisukumia huko (kitazama ndani kabisa)wee sukuma kwa nguvu kama unakisukumia huko hiyo sindano itazama kikishafika mwisho ndani yana alfu hiyo sindano vuta kwa nguvu inakitoa au chukua super glue paka hapo kwa ndani kwenye hiyo pin ilukatika weka kama unachomeka pale ilipokuwa kwenye hiyo ilokatika subiri dakika chache inase ukichomoa hiyo pin inakitoa!!ukiweza lete mrejesho!![emoji86] [emoji86]
Mafuta ya gari elfu 20.si Bora hata ungesema daladala..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Uko wapi nije kukutolea utanilipia mafuta ya gari..!
Yaani nipande daladala kisa utanilipia nauli[emoji41] [emoji41] labda km utanipa na nanilii...(mtaro/mpasuko kwenye adazi) hapo sawa.Mafuta ya gari elfu 20.si Bora hata ungesema daladala..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwani umeitwaaaaYaani nipande daladala kisa utanilipia nauli[emoji41] [emoji41] labda km utanipa na nanilii...(mtaro/mpasuko kwenye adazi) hapo sawa.
Wewe ndo mvivuUsiwe mvivu wa kufikiri jambo na kufanya maamuzi kama mwanaumw rijali,
Sio kila matatizo unaanika mtandaoni kuomba ushauri,
Vingine unafanya mwenyewe kimya kimya sio kila ajue mambo yako binafsi.
Umeshindwa kitu mtafute mtaalamu akusaidie na maisha yanaenda.
Kazi ndogo sana hii na usikute movie anayotaka kuangalia ni the walking dead aaaya type mlejeshoWacha uoga,FUNDI atakulia hela tu kwa kazi ndogo, chukua sindano ndogo iweke Moroni upate moto then ingiza hapo ilipokatikia(coz kile kichuma kati kina plastic) then vuta kinatoka,kazi ya dk 1 tu
Upo wapi? Ni-pm nikusaidie, mafundi uchwara watakuharibia tv yako.Habari naombeni msaada .ni hivi kuna zile nyaya za kuunga Nisha TV na deki.sasa kuna vile viwaya (kichwa) vinavyochomekwa vinavyoingia kwenye TV kimekatikia ndani ya TV na ni baada ya zile waya kuwekwa vibaya. kinaweza kutolewa kweli? Au ndo siangalii CD videos.