Msaada, changamoto ya bawasiri

Msaada, changamoto ya bawasiri

bievinii

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
712
Reaction score
737
Nina mdogo wangu ambae Ni mwanafunzi. Miezi michache iliyopita alijiovadozi(alikunywa vile vidonge vya majira vile vyekundu alitumia kimoja kutwa mara 3, kwasababu alijihisi ana mimba akaenda duka la dawa baridi ndio akapewa hizo ili atoe). Sasa anasumbuka na bawasiri na pia anadai tumbo linamuuma

Je zile ddawa ndiyo chanzo?

Tumeenda hospital ila hajapewa chochote ila ameelekezwa ale vyakula vya nyuzinyuzi tu.
 
Pole yake mkuu ,hiyo Bawasiri mtafutie mafuta ya habat soda (black seed) awé anapakaza huko ktwa x3 kuhusu tumbo kuuma mtafutie dawa za kusafisha nenda duka la dawa waeleze watakupa vya kusafisha vidonge na aendelee kula hiyo misosi aloambiwa ale

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nina mdogo wangu ambae Ni mwanafunzi. Miezi michache iliyopita alijiovadozi(alikunywa vile vidonge vya majira vile vyekundu alitumia kimoja kutwa mara 3, kwasababu alijihisi ana mimba akaenda duka la dawa baridi ndio akapewa hizo ili atoe). Sasa anasumbuka na bawasiri na pia anadai tumbo linamuuma

Je zile ddawa ndiyo chanzo?

Tumeenda hospital ila hajapewa chochote ila ameelekezwa ale vyakula vya nyuzinyuzi tu.
Kama uko sirious dawa ninayo ni kiboko ndan ya week tu unapona njoo uonw shuuda 0712505049
 
Nina mdogo wangu ambae Ni mwanafunzi. Miezi michache iliyopita alijiovadozi(alikunywa vile vidonge vya majira vile vyekundu alitumia kimoja kutwa mara 3, kwasababu alijihisi ana mimba akaenda duka la dawa baridi ndio akapewa hizo ili atoe). Sasa anasumbuka na bawasiri na pia anadai tumbo linamuuma

Je zile ddawa ndiyo chanzo?

Tumeenda hospital ila hajapewa chochote ila ameelekezwa ale vyakula vya nyuzinyuzi tu.
Pole sna mkuu mm mke wng alipona kwa dawa ya 30,000 tuu kuna dawa nilinunua pale msikiti wa vetenari teneke 0754212553 uyu jamaa anadawa nzur sna unafuu unapata baada ya siku tatu matokeo utayaona
20221119_145813.jpg
 
Poleni sana ila kiukweli hakuna uhusiano wowote kati ya tatizo la Bawasiri na kutumia hivyo Vidonge, hilo tatizo alikuwa nalo kabla ila huenda tu limesisimuka kwa sasa.

Na kwa bahati mbaya hili tatizo halina tiba au dawa za moja kwa moja ndio maana utaona ni kati ya matatizo yanayowavutia sana Watu wa tiba asili, kama ilivyo kwa vidonda vya tumbo n.k...sanasana atapewa dawa za kupunguza maumivu nakama hivyo kushauriwa kula vyakula vyenye nyuzinyuzi kwa wingi...wengine watashauru hata kufanya surgery.

Hapo ana changamoto mbili, hiyo ya bawasiri na hiyo ya kuumwa tumbo, hivyo bado anahaitaji ushauri wa Daktari zaidi hapo kwenye ishu ya tumbo.
 
Nina mdogo wangu ambae Ni mwanafunzi. Miezi michache iliyopita alijiovadozi(alikunywa vile vidonge vya majira vile vyekundu alitumia kimoja kutwa mara 3, kwasababu alijihisi ana mimba akaenda duka la dawa baridi ndio akapewa hizo ili atoe). Sasa anasumbuka na bawasiri na pia anadai tumbo linamuuma

Je zile ddawa ndiyo chanzo?

Tumeenda hospital ila hajapewa chochote ila ameelekezwa ale vyakula vya nyuzinyuzi tu.
Nicheki 0712505049
 
Back
Top Bottom