GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari zenu wanajamvi
Nina kaka yangu ambaye amerudi Dar kutoka Ulaya alipokuwa anaishi, sasa sisi hatufahamu kama anatumia madawa ya kulevya, ameanza kuumwa na kutetemeka na anafanya fujo sana ili apate hayo madawa yake.
nilikuwa naomba msaada wenu, wapi tunaweza kumpeleka apate matibabu ya uhakika
Nina kaka yangu ambaye amerudi Dar kutoka Ulaya alipokuwa anaishi, sasa sisi hatufahamu kama anatumia madawa ya kulevya, ameanza kuumwa na kutetemeka na anafanya fujo sana ili apate hayo madawa yake.
nilikuwa naomba msaada wenu, wapi tunaweza kumpeleka apate matibabu ya uhakika