Kwanza huja Sema Wewe kazi yako nini hapo kazin kwako
Kuchomelea ame kwambia ukasomee je wew unapenda taaruma iyo??
Ada ya veta sio kubwa ndugu yangu kama kweli Wewe mfanya kazi mana ni elf 60 kwa mwaka kama unatoka nyumban na 150,000 kwa wanao kaa hostel kwa vyuo vya selikal.
Ingawa Kuna garama nyingine ndogo ndogo hazi wez kuzid laki NNE kwa mwaka
Kama Lengo ni Kuchomelea je unatakiwa ujue unachomea nini je inahusiana na mambo ya kufanya ubunifu wa Saman au ni kuchoma kuunga tuu vyuma. Kama Lengo kuchoma tuu miez mitatu inatosha veta au mtaan una weza