Taasisi yangu wanahitaji fundi mchomeleaji mwenye cheti cha long course ambayo ni miaka 2 na mimi kutokana na swala la ada kusomea kozi ya miaka 2 sina.
Ila nahitaji kujua kuchomelea na ufundi kwa ujumla kwanza napenda hiyo kazi je, nifanyaje au nitumie njia gani kuweza kujua maana miaka 2 ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.